anthony diallo

Anthony Mwandu Diallo (born December 25, 1956) is a Tanzanian politician who served in the National Assembly of Tanzania, representing Ilemela constituency, from 1995 until October 2010 general elections when he lost to a Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) candidate.Diallo started being a member in the National Assembly 1995 and he was immediately appointed Deputy Minister of Industry and Trade from 2000 to 2001 and then Deputy Minister of Water and Livestock from 2001 to 2005. He was appointed as Minister of National Resources and Tourism on January 4, 2006, serving in that position until he was named Minister of Livestock Development on October 15, 2006. He remained in the latter position until February 12, 2008. He left the cabinet so that he could focus more on his businesses, which include a newspaper, a radio station and a television station, and to improve media performance.
Diallo has been a member of the National Executive Council of the Chama Cha Mapinduzi (CCM) party since 2002.Diallo is a qualified Services marketing and Entrepreneurship specialist; his area of specialization include e-Business, e-Government and systems implementation. With 12 years of continuous public service management and 20 years of management in the field of manufacturing, procurement and production planning. After completing secondary education, he embarked on a series of specialty studies leading the acquisition of management skills and manufacturing in the fields of Engineering Technology.
Diallo was the founding partner of dm Investment co. Ltd; a company, which by 1992 was among the largest engineering manufacturing entity in Africa with turnover of 2.2 million USD; at that time, only the Egyptian and South African military had the largest engineering complexes in the African continent. dm Investments Co. Ltd., until its wind up in 1994, manufactured SAHARA brand of electrical appliances, agricultural machinery, single stroke diesel engines and industrial machineries for the agricultural processing industries. Before the liberalization of the Tanzania economy, dm Investment was the most sophisticated manufacturing firm in Africa and the first to deploy and use Computer-Numerically Controlled machine tools (CNC) in Africa and employed over 300 engineers/scientists and technicians at its Nyakato factory in the city of Mwanza in Tanzania.
Diallo holds a Bachelor of Science (BS-eB) Degree in e-Business from the University of Phoenix, a Masters of Business Administration (MBA) degree from the University of Newcastle, a Master of International Management degree from the University of Phoenix (MM-I) and a Doctorate in Business Administration (DBA) from the University of Newcastle (2008). He also holds a Postgraduate Diploma in Technology Management from Maastricht School of Management, NL and attended the six-week Advanced Management Program of Harvard Business School, Boston, US (1994).

View More On Wikipedia.org
  1. Leak

    Rais Samia na CCM msaidieni Anthony Diallo jahazi linazama

    Kwa habari nilizonazo ni kwamba Kampuni ya Sahara Media inayomilikiwa na ANTHONY DIALLO iko katika kipindi kigumu kuelekea kufilisika au kupigwa mnada kutokana na madeni makubwa yanayo mkabili mmiliki wake hasa kutoka kwa wafanyakazi wake wa vituo vya Star TV, Radio Free Africa na KISS FM...
  2. saidoo25

    Ukali wa maisha upo lakini sio kwa Tanzania peke yake"- Dkt. Anthony Diallo

    Nimemsikiliza Dk. Antony Dialo akizungumzia ugumu wa maisha kuwa na kufanya uchambuzi wake msikilize hapa:
  3. J

    Dkt. Diallo: Sisi Mwanza ndio Wasukuma original na Rais Samia ni Chifu wetu, hao wanaoitwa Sukuma Gang hatuwatambui

    Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang. Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao...
  4. T

    Wanaharakati wa Katiba Mpya, jibuni hoja za Anthony Diallo

    YA MUHIMU zaidi ya mauza uza ya Rais aliyeenda Mirembe, kwenye mazungumzo yake Anthony Diallo alisema: Katika nchi zetu za Kiafrika Li Katiba linaweza likawekwa pembeni na watu wakaemdelea na ya kwao tu... mtamfanya nini? Kwani 2005 Zanzibar hakukuwa na Tume Huru? Hakukuwa na CUF kwenye tume...
  5. Kinuju

    Musukuma: Mke wa Diallo alipewa Ukurugenzi na Hayati Magufuli. Asema alimsaidia Star Tv ilipofungiwa na TRA

    Mbunge wa Geita vijijini Mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi. Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa...
  6. kavulata

    Alichosema Anthony Diallo kinasemwa na Watanzania wengi chinichini

    Katiba yetu inalalamikiwa na Watanzania wote, wapinzani, wanaCCM na wazanzibar kwakuwa katiba hii pamoja na mambo mengine ina uwezo mkubwa wa kuzaa kiongozi dikteta, kiongozi mwizi wa kura, kiongozi mdini, kiongozi mbadhilifu, kiongozi mkabila na kiongozi kichaa ambaye wananchi hawawezi...
  7. BAK

    UVCCM wamemtishia nini Anthony Diallo?

    UVCCM WAMEMTISHA DKT. ANTHONY DIALLO NA AMEKUBALI KUTISHIKA! Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa Dkt. Anthony Diallo alizungumza na kutoa maoni yake na ulimwengu umemsikia. Alipokuwa akiongea alionekana kuwa timamu. Alionekana alikuwa na agenda na alionekana alijiiandaa vema...
  8. Komeo Lachuma

    Watanzania tuwe makini sana na watu kama Dkt. Diallo. Ni watu wa maslahi zaidi

    Inawezekana kwa kuwa tuna ugomvi na chuki na Magufuli kila ambaye atakuja msema vibaya tutamwona ni shujaa. Lakini tujiulize "Dr. Diallo alikwii?" Je Dr. Diallo kweli ana moral authority ya kumsema vibaya Magufuli? Huyu Diallo ukiangalia anacholalamika si kwamba watanzania wamefanyiwa hivi au...
  9. Komeo Lachuma

    Kwa wapinzani hawa, CCM haitatoka madarakani milele

    Tayari wameshapotezwa maboya wana deal na alichosema Diallo. Leo Diallo ni Shujaa sababu amemsema Magufuli vibaya. Wanasahau Diallo alishawahi kuwa katika watu wanaofanya ufisaidi nchini Tuachane na Diallo. Hizi tozo za Kinyonyaji ina maana zinapita hivi hivi hatupazi sauti zetu tumehamia...
  10. Replica

    #COVID19 Dr. Anthony Diallo: Corona bado ipo, apendekeza 'Level seat' kwenye daladala na Mask

    Mwandishi: Kwanini unanisalimia hivi(Alimpa mkono, Diallo akampa gonga), wakati fulani tulipita hapa tukawa tunaamini tumeshatoka kwenye Covid. Awamu iliyopita tulikuwa tunasali na kumuomba Mungu, Covid haipo. Bado una wasiwasi na Covid Dr. Diallo: Covid ipo, jana nilimsikia mkuu wa mkoa...
  11. J

    Nani anayetajwa na Mwenyekiti wa CCM Mwanza, Dkt. Diallo kwamba ana faili Hospitali ya Akili Milembe?

    Bado najiuliza huyo mwanasiasa aliyetajwa na Dr. Anthony Diallo kwamba alikuwa na jalada hospitali ya Mirembe ni nani? Na kwanini mifumo ilimruhusu kugombea? Nawasalimu kwa jina la JMT! ========= KWA UFUPI Mahojiano kati ya Mhe Anthony Diallo Mwenyejiti wa CCM Mkoa wa Mwanza na Mtozi Alloyce...
  12. Erythrocyte

    Anthony Diallo alipata nini kwa kutumia Star Tv kupotosha jamii wakati wa Uchaguzi Mkuu 2015?

    Huyu jamaa ni mwana CCM kama walivyo matajiri wengi wa nchi hii, anamiliki kituo cha TV kama alivyo mwanaCCM mwenzake Reginald Mengi. Sasa cha kushangaza huyu aliamua kukiuka maadili ya utangazaji, kwa kuamua kuwanyima coverage wagombea wengine na kuwapromote wagombea wa CCM tu na nina hakika...
Back
Top Bottom