Star is an American musical drama television series created by Lee Daniels and Tom Donaghy for the Fox Broadcasting Company. It revolves around three talented young singers who navigate the music business on their road to success and stars Jude Demorest, Brittany O'Grady and Ryan Destiny. The series, which is set in Atlanta, consists of original music, along with musical fantasy sequences, as dreams of the future. Queen Latifah, Benjamin Bratt, Amiyah Scott and Quincy Brown co-star.The series premiered on December 14, 2016. With the premiere of the series, Amiyah Scott became the third openly transgender person to play a trans major character in a scripted television drama series in America, after Laverne Cox on Orange Is the New Black and Jamie Clayton on Sense8.Star is a joint production between Lee Daniels Entertainment and 20th Century Fox Television and syndicated by 20th Television. On February 22, 2017, Fox renewed the series for a second season, which premiered on September 27, 2017, and crossed over with other Fox series Empire.On May 10, 2018, Fox renewed the series for a third season. Season 3 premiered on September 26, 2018, and airs on Fox Wednesdays at 9:00 PM. Internationally, new episodes premiere on Netflix in Canada the following Thursday.On May 10, 2019, Fox canceled the series after three seasons.
https://www.youtube.com/watch?v=IqmxT2cZNSM
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu yupo Star TV muda huu akifanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha The Big Ajenda. Fuatana nami katika uzi huu ambao utamulika baadhi ya hoja zinazoibuka:
TUNDU LISSU KUHUSU LOWASSA NA KESI YA UFISADI
DPP...
Kwa mujibu wa mtangazaji wa Star TV Aloyce Nyanda wiki iliyopita, usiku huu saa tatu na nusu kwenye kipindi anachokiendesha kiitwacho Agenda, atafanya mahojiono na Tundu Lissu.
Iwapo hakutakuwa na mabadiliko ya ratiba hiyo, ama maagizo toka juu, tunategemea Lissu awe mubashara kwenye kipindi...
•Lema ni mwanasiasa mzuri Sana lakini apunguze ego.
• Lema afuate protocol za interview kumpa nafasi muongoza kipindi ili mahojiano yaende Kwa mtiririko unaofaa badala ya kutaka kuongea yeye tu kama chiriku anaharibu.
• Lema amebarikiwa akili na upeo mkubwa Sana lakini amenyimwa kipawa cha...
Bila kificho, ITV inashiriki Propaganda za Hamas. Wanasiasa wanaoalikwa kuzungumzia siasa za kimataifa mara nyingi ni wale wenye mrengo wa Hamas.
Vilevile Star TV inaunga mkono Israel na Marekani bila kificho.
Fuatilia utagundua hilo
Wakuu habari?
Saa tatu usiku huu nataka kuangalia BBC dira ya dunia lakini star TV haipo kwenye orodha ya channel kwenye king'amuzi cha Azam.
Nyumbani namna gani!?
Nini shida?
Taarifa ya kushikikiwa kwa Mwandishi Aliyce Nyanda
Nimepokea simu nyingi toka kwa waandishi mbalimbali juu ya kutaka kujua kama mwenzetu Mwandishi Aloyce Nyanda anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mwanza.
Ukweli ni kuwa, mwandishi mwenzetu aliitwa na jeshi la polisi na kushikiliwa kwa muda mchache...
Naleta masikitiko yangu kama mtanzania juu ya kituo Cha habari Cha Star Tv vhenye makao yake Mwanza Tanzania.
Hawajui kusoma alama za nyakati.
Uandaaji wa habari zao ni wa kiwango Cha chini sana ukilinganisha na vituo vingine vya television nchini.
Ukiangalia habari ya Azam ni habari nzuri...
Duru za kweli kabisa zinatabanaisha bwana Aloyce Nyanda, mtangazaji wa kituo cha runinga Star TV, huenda akafutwa kazi kwa kile kinachodaiwa " hayupo upande wa wakubwa."
Nukuu ya chanzo;
Jamaa kibarua ki shakani sana, maana hata boss kapigiwa simu kibao akilalamikiwa kuhusu yeye kuendesha...
Kwa kweli baadhi ya vyombo vya habari Tanzania kikiwemo Star TV bado Wana changamoto ya waandishi na wasomaji wa habari.
Yani mtu anasoma habari kama anaogopa studio au kawekewa bunduki kichwani. Kituo kikubwa kama Star TV kweli wanakosa wasomaji wa habari walio mahiri.
Huyu mdada aliesoma leo...
Mgogoro baina ya wafanyakazi na uongozi wa Kampuni ya Sahara Media Group Limited hauoneshi dalili za kuisha hivi karibuni baada ya taarifa kuibuka kwamba kampuni hiyo imewasimamisha kazi wafanyakazi kwa madai kwamba hakutakuwa na uzalishaji wa vipindi kupisha maboresho ya kiufundi.
Hata hivyo...
Uongozi wa kituo cha televisheni cha Star Tv.chenye maskani yake jijini Mwanza,kimetangaza kusitisha uzalishaji wa vipindi vyote vya ndani kuanzia leo Januari 18,isipokuwa taarifa za Habari,BBC Swahili,na vipindi vingine vilivyolipiwa na uandaaji wake hufanyika nje.
Taarifa iliyotolewa kwa...
Television zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza.
Ni star tv tu ndio walirusha habari hiyo kama ya mwisho, ishara ya wazi ya chuki kubwa waliyo nayo dhidi ya SSH.
Wahusika wanamtumia Alloyce Nyanda kama...
TAALUMA YANGU MASHAKANI.
Elimu Tanzania imekuwa sekta ambayo inatazamwa kama chanzo au nyenzo kuu ya kuzalisha wasomi au watatuzi wengi wa matatizo yanayoikumba jamii katika nyanja zote za maisha lakini imekuwa tofauti hadi sas wasomi kuzalaulika kwa jamii na kuonekana kama wajinga maana wasomi...
Katika matangazo yenu mnaonyesha lile ziwa lililoko nadhani Mbeya, lenye umbo la ramani ya Tanzania, ila mwonekano wake haujidhirishi kwani picha imepigwa mtu akiwa ardhini, nawashauri mpige hiyo picha upya kwa kutumia drone
Nchi ngumu sana hii, Mheshimiwa Rais Mama Samia anasema hatatoa kwanza ajira kwanza ili awapandishe madaraja walioko kazini,duh ukijiuliza yupi mwenye uhitaji kati ya ambaye Hana ajira na ambaye ana ajira?. Leo hii vijana wapo mitaani wakiambiwa wajiajiri wenyewe lakini ukirudi nyuma...
Kamati ya Maadili ya TCRA imesema Kituo cha Star Tv kimeonesha uzembe na udhaifu katika kusimamia kipindi cha EFATHA Ministries ambacho hurushwa kwa matangazo ya moja kwa moja, kwa kuruhusu maudhui yenye ukakasi ambayo ni kinyume na Kanuni za Mawasiliano
TCRA ikimnukuu Askofu Josephat Mwingira...
Nimealikwa na Star ⭐️ TV nimekubali kwa sharti moja kwamba Mjadala ujikite katika kujenga na kuweka mbele Maslahi Mapana ya Nchi yetu!
NB: Ukitaka kujua NB ya leo fuatilia Star ⭐️ TV saa 3:30 Usiku na tutakuwa hewani pia! Mjuze na mwingine! https://t.co/HOoJjoCh4K
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.