Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) ni taasisi iliyoundwa chini ya Sheria ya Chakula Dawa na Vipodozi Sura ya 219, ili kudhibiti ubora na usalama wa vyakula, dawa, vipodozi, na vifaa tiba kwa lengo la kulinda afya ya jamii dhidi ya madhara yatokanayo na matumizi ya bidhaa hizo.
Ili...
Salamu kwako Mh. Mwigulu L.Nchemba (Mb). Naamini wewe ni mmoja kati ya wadau wa JF, hivyo utasoma moja kwa moja ujumbe wangu kwako, au kama hutosoma basi watu wako watasoma na kukupa taarifa.
Leo tarehe 18.4.2013 nimekushuhudia ukichangia bungeni, ulianza vizuri kwa kutetea watu wako ili...
Jana wakati mwenyekiti mteule wa CCM, Dr. JM Kikwete akihutubia mkutano mkuu aligusia suala la mawasiliano na umma, alisema simu zake zinamsaidia sana kupata kinachoendelea huku uraiani.,na akasema mara nyingine huwa hajui kinachoemdela huku! Hapo ndipo tatizo langu la msingi...
Kaya yangu ni moja kati ambazo zilikuwa hazijahesabiwa katika siku saba za mwanzo. Nilikuwa na maswali mengi kichwani, mojawapo likiwa kama mimi nipo mjini ambapo kuna miundombinu ya kutosha sijafikiwa, itakuwaje kwa mtu aliyepo kijijini. Lakini leo asubuhi alikuja karani wa sensa nyumbani...
Naomba nianze thread yangu kwa kuwakumbusha kidogo physics, Nadhani wengi mnakumbuka jinsi pendulum inavo-swing kushoto na kulia. Sasa nataka kuirelate movement ya pendulum na ubongo wa binadamu kwamba nao in kama unamove pande mbili ambazo ni Sense and Non-Sense, na mara nyingi mtu anapotoa...
My car book says to roll down the windows to let out all the hot air before turning on A/C. WHY? Car Air-conditioning - No wonder more folks are dying from cancer than ever before. We wonder where this stuff comes from but here is an example that explains a lot of the cancer causing incidents...
Jamani wadau, please naomba msaada mtu anaejua kampuni inayoweza kunitengenezea package za chaki (box ndogo na Kubwa) na juice (Box).,NB: Naomba location na full address if possible
Nilikuwa nasoma thread inayomhusu Sophia Simba na vioja vyake ktk C10, hapohapo nikakumbuka Statements za naibu waziri wa kilimo akiongea na waandishi wa habari kwamba serikali haiwezi kudhibiti mfumuko wa bei za vyakula., Napata shida kujua hawa watu wanafanya nn? kama unakili huwezi kufanya...
Wanazuoni mbalimbali katika fani ya maendeleo na uchumi wamewahi kuja na theories mbalimbali katika kujaribu kueleza dhana ya kutokuendelea kwa nchi za dunia ya tatu, pia wamejaribu kutoa hatua ambazo wanadhani nchi zilizoendelea zilifuata, Ukimuangalia Marx kwa mfano na watu mbalimbali...
Nadhani wiki leaks wanaweza wakawa na mlolongo mzima wa hii skendo ya Dowans! I wish Assange angetusaidia kuitoa live hii nayo, though najua watu wanafahamu hasa nani mmiliki halisi wa Dowans. It is paining knowing that huu ni wizi wa hadharani halafu mkuu wa kaya yupo kimya. kuna mambo mawili...
Je,kuna haja ya kubadili jina la kikosi chetu cha kutuliza ghasia na kukiita kikosi cha kutuliza demokrasia, maana naona kila palipo na chembechembe za mapinduzi ya demokrasia hawa jamaa lazima waende! tujadili
Siku zote wahenga hunena, panapofuka moshi kuna moto, Nimeanza kwa msemo huu nikijaribu kuoanisha na jinsi mambo yanavyokwenda katika kipindi hiki kifupi baada ya uchaguzi. Migomo imeanza kushika kasi karibu katika maeneo mengi kuanzia vyuo vikuu, wafanyakazi wa reli, wachimba mchanga huko...
Siasa inapoingia katika masuala ya msingi, tunaelekea kuua taifa letu! leo tunaambiwa bei ya unit 1 ya umeme inapanda kwa asilimia 18, so kutoka ilipo karibu Shs. 129 tunaelekea Shs.160 kwa unit moja and then tuna matumaini ya kuvuka kutoka uchumi unaotegemea kilimo kuwa industrial led economy...
Kila kitu katika dunia hii kina hatua zake toka kuzaliwa (kuanzishwa) mpaka kufa kwake, Katika kila hatua kuna changamoto zake lukuki, lakini changamoto ndo zinafanya hatua inayofuata iwe bora zaidi, lakini mmh si katika muvi za Bongo. Leo nataka japo kwa ufupi kujadili suala la "Bongo Movies"...
Professor Watson, mtaalam aliyebobea katika mambo ya vinasaba (DNA), alitueleza kuwa watu weusi tunavinasaba inferior kulinganisha na watu weupe, ilizua mjadala ambao ulijikita katika mazingira ya ubaguzi wa rangi kwa kiwango kikubwa, kwanza ukitafakari kuwa tuna wataalam wenye ngozi nyeusi...
Najaribu kufikiria sakata zima la wikilink jinsi linavyoendeshwa and then nalinganisha na mfumo wetu wa dola ulivyo hapa kwetu and then najaribu kulink na demokrasia. Assange ambaye ni mmiliki wa huo mtandao pamoja na kudaiwa kumiliki kinyume cha sheria classified documents za USA, Bado anakula...
CHAMA Cha Mawakili Zanzibar (ZLS) kimepinga uteuzi wa majaji wa Mahakama Kuu uliofanywa na Rais wa Zanzibar (SMZ), Dk Ali Mohammed Shein Novemba 29 mwaka huu wa 2010 na kuhoji uhalali wa uwepo wa Jaji Mkuu wa Zanzibar aliyestaafu.
Tayari ZLS kimemwandikia barua Dk Shein Novemba 30, ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.