Mimi ni shabiki simba damu na nimekuwa mmoja kati ya watu wanaopigania simba ipate basi jipya lenye hadhi ya simba kwa muda mrefu. Nimefika mbali mpaka kutoa ushauri kwa mo apunguze bonus za mamia ya mamilioni anayotoa kwa mechi moja ili zielekezwe kununua basi lenye kiwango kama timu kubwa za...
Kwa wadau wote wa kilimo na ufugaji,
muda wa kupata maarifa mapya ni huu mpaka tarehe 8/8.
Tuepuke kufanya ufugaji na kilimo cha mazoea. Ukihudhuria maonesho haya utajifunza mengi kitaalam kati ya haya
Mbegu bora, nafaka, spices, matunda kama strawberry etc
Namna ya kuhudumia shamba na...
rip Zola D
Zola D King (in red) akitunishiana msuli na Alphonce Joseph (Mchumiatumbo) wakati wa upimaji uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya idi pili katika Uwanja huo huo wa Chuo cha Bandari Temeke.
United agree van Persie deal
Manchester United is pleased to announce it has reached agreement with Arsenal Football Club for the transfer of Robin Van Persie.
The deal is subject to a medical and the agreement of personal terms. A further announcement will be made in due course...
Mgonjwa akitafuta msaada
Bango lajieleza
SOURCE: g sengo: KUSHANGAA MWISHO MARA MOJA
MY TAKE: Kuna umuhimu wa serikali kutenga budget maalum kwa watu wasio na uwezo wa kujilipia matibabu, mafano ni huyu ndugu yetu anayehitaji matibabu ndani ya nchi na si India lkn anashindwa kutokana na...
Wengi wanashindwa kuanza kilimo cha umwagiliaji kwa kukosa mtaji wa kuchimba kisima na kununua pampu, ukiitumia akili yako vizuri hili si tatizo kabisa. Akili ni mali, angalia jinsi ya kuanza kilimo cha umwagiliaji kwa gharama nafuu
huu ni ubunifu wa watu wa misungwi (mwanza)
Hii inaonesha EL anawaandaa kwanza wananchi wake kumcha mungu ili 2015 akiingia kila raia awe na maadili mema, hapa tegemea wizi, rushwa, kuporomoka kwa maadili ya uongozi kutoweka kabisa kuanzia 2015. EL anahitaji kizazi kilichojengeka kimaadili cha kuifikisha tz yetu tunayoitaka.
wito wa...
amini usiamini ewe ndugu, kijana, mama, kaka, mjomba, shangazi, dada CCM inapendwa na kada zote za kijamii, hayo yamedhihirika leo mwanza ambapo watu takribani 100,000 walikuwa uwanjani kirumba kushuhudia mtoto mpya akizaliwa baada ya kujivua gamba. Umaarufu wa chama cha mapinduzi umewashangaza...
jk amepewa tuzo huko Addis ababa na maraisi wa afrika, ni tuzo ya kupambana na ugonjwa hatari wa malaria barani afrika, hii ni mara ya pili kwa tz kuipata award hii inayoheshimika sana duniani
SOURCE: TBC taarifa ya habari saa 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.