mchumiatumbo ni mtoto wa mkulima
Mbavu kbwa tu hapo hamna kitu hapo?rip Zola D
Zola D – King (in red) akitunishiana msuli na Alphonce Joseph (Mchumiatumbo) wakati wa upimaji uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya idi pili katika Uwanja huo huo wa Chuo cha Bandari Temeke.
rip Zola D
Zola D King (in red) akitunishiana msuli na Alphonce Joseph (Mchumiatumbo) wakati wa upimaji uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya idi pili katika Uwanja huo huo wa Chuo cha Bandari Temeke.
hapo juu kuna maandishi ya Rip Zola D, kwani huyo jamaa amesha rest in peace?