Five hundren ? Hivi hawa watu wapo serious kabisa ? Wamejiandaa na hiyo dummy check ya kupigia picha sio ajabu kitengo kizima hakuna aliyona hiyo error...
Haya wee.. Jamani kuweni makini maana mnaanza kututia hofu na hela zetu mlizotuwekea.
Five hundren ? Hivi hawa watu wapo serious kabisa ? Wamejiandaa na hiyo dummy check ya kupigia picha sio ajabu kitengo kizima hakuna aliyona hiyo error...
Haya wee.. Jamani kuweni makini maana mnaanza kututia hofu na hela zetu mlizotuwekea.