Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
Mimi ni shabiki simba damu na nimekuwa mmoja kati ya watu wanaopigania simba ipate basi jipya lenye hadhi ya simba kwa muda mrefu. Nimefika mbali mpaka kutoa ushauri kwa mo apunguze bonus za mamia ya mamilioni anayotoa kwa mechi moja ili zielekezwe kununua basi lenye kiwango kama timu kubwa za afrika na ulaya (post zimo humu J).
Basi jipya lilivyofika nilifurahi kuona maoni yetu yanafanyiwa kazi na kuwa basi hili aina ya tata ni kiwango cha mbele hii ni sababu siku ile niliona video zake youtube nje na ndani ikiwa kuna siti za 1 by 2, space kubwa, hapo hapo kuna meza, tv kila siti, choo, fridge, jiko kama ndege first class angalia kuanzia dk 3:41
Kumbe zilikuwa picha za kuchonga na hili lijamaa linaongea limeshuhudia kwa macho kwakweli serikali iendelee kudhibiti huu uhuru wa habari, unatumika vibaya na wajinga kama huyu.
Leo nimeangalia video halisi ya basi, angalia hapo chini. Ni basi la hovyo hata likipaki stendi ya Kongwa abiria wanalinyanyapaa hawapandi ..bora yutong lirudi, hivi kweli achilia mbali scania tumeshindwa hata kununua zhongtong double difu au hata shabiby luxury za 1 by 2 na kuleta hili takataka? Nimesikitika sana kwa hadaa hizi za mo
Basi jipya lilivyofika nilifurahi kuona maoni yetu yanafanyiwa kazi na kuwa basi hili aina ya tata ni kiwango cha mbele hii ni sababu siku ile niliona video zake youtube nje na ndani ikiwa kuna siti za 1 by 2, space kubwa, hapo hapo kuna meza, tv kila siti, choo, fridge, jiko kama ndege first class angalia kuanzia dk 3:41
Kumbe zilikuwa picha za kuchonga na hili lijamaa linaongea limeshuhudia kwa macho kwakweli serikali iendelee kudhibiti huu uhuru wa habari, unatumika vibaya na wajinga kama huyu.
Leo nimeangalia video halisi ya basi, angalia hapo chini. Ni basi la hovyo hata likipaki stendi ya Kongwa abiria wanalinyanyapaa hawapandi ..bora yutong lirudi, hivi kweli achilia mbali scania tumeshindwa hata kununua zhongtong double difu au hata shabiby luxury za 1 by 2 na kuleta hili takataka? Nimesikitika sana kwa hadaa hizi za mo