alex kipanya ni habari nyingine. infact ni mmoja wa wachora katuni waliopeleka katuni katika level ya juu iliyopo sasa. kumbuka kipindi cha uchaguzi wa ubunge temeke kati yaLyatonga mrema na cisco mtiro. alichangia sana ccm kushindwa, na pia akaja akaanza kuwabana viongozi waDar kipindi kile marahemu Dito akiwa RC hadi Dito na ujanja wake wote akasalimu amri na kuomba sit down na Kipanya, cha ajabu jamaa alipotoka kwenye kikao hico akaibuka na kikatuni kikimcheka Dito na kumwambia kuwa moto ni ule ule. huyu kununuliwa ni baadaye sana. anyway Keep it Kipanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.