Vituko vya kp

Narubongo

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
2,768
2,750
kipanya_04-_03_-_2012_20120306_1959050567.jpg


kipanya_09_-_03_-_2012_20120309_1464501580.jpg


kipanya_03-_03_-_2012_20120306_1170593865.jpg
 
Sio Vituko Vya KP! Sema Up*****zi wa Masoud Kipanya ndipo utaeleweka!
 
kp huna muda watakununua tu hao endeleza tu maujumbe yenye kero za kimagamba...
 
alex kipanya ni habari nyingine. infact ni mmoja wa wachora katuni waliopeleka katuni katika level ya juu iliyopo sasa. kumbuka kipindi cha uchaguzi wa ubunge temeke kati yaLyatonga mrema na cisco mtiro. alichangia sana ccm kushindwa, na pia akaja akaanza kuwabana viongozi waDar kipindi kile marahemu Dito akiwa RC hadi Dito na ujanja wake wote akasalimu amri na kuomba sit down na Kipanya, cha ajabu jamaa alipotoka kwenye kikao hico akaibuka na kikatuni kikimcheka Dito na kumwambia kuwa moto ni ule ule. huyu kununuliwa ni baadaye sana. anyway Keep it Kipanya.
 
Back
Top Bottom