Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
Na Martin Malera
WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika harambee ya chakula cha hisani kuchangia kuanzishwa kwa Jimbo jipya la Kanisa Katoliki Ifakara. Harambee hiyo itakayohudhuriwa na maaskofu wa majimbo mbalimbali nchini, imeandaliwa na Askofu wa Jimbo la Mahenge, Agapit Ndorobo na inatarajiwa kufanyika katika Ukumbi wa Dimond Jubilee, Machi 7, mwaka huu.
Hii inaonesha EL anawaandaa kwanza wananchi wake kumcha mungu ili 2015 akiingia kila raia awe na maadili mema, hapa tegemea wizi, rushwa, kuporomoka kwa maadili ya uongozi kutoweka kabisa kuanzia 2015. EL anahitaji kizazi kilichojengeka kimaadili cha kuifikisha tz yetu tunayoitaka.
wito wa Narubongo ni kuwahimiza watanzania wote wenye nia njema kujitokeza kwa wingi 7th march 2012 @ diamond jubilee pasipo kujali itikadi za udini, ukabila, uraia na personal issues ili tukamilishe kazi hii ya kulieneza neno la mungu na kuijenga tanzania yetu yenye maadili
ELairLines2015