Baada ya kifo cha Waziri wa fedha Dk. william mgimwa mengi yamesemwa ndani na nje ya jukwaa letu la JF. Kwa wastani threads nyingi zimeonyesha kuwa wengi wamehuzunishwa na kifo chake jambo linaloonyesha kuwa Marehemu alitimiza wajibu wake.
Hata hivyo tumesahau wajibu wetu wa kutoa maoni yetu...
Si vibaya watu kudhani kuwa tukio la Olasiti mkoani Arusha ni la kigaidi, lakini ni mapema sana kuanza kunyoosheana vidole kwamba watu wa dini fulani wanahusika katika hilo.
kwani, majina pekee hayahalalishi kuwa ni mpango/ mkakati wa dini fulani kuishambulia dini nyingine au dini moja...
MBATIA aliapa bungeni kwamba Waziri wa Elimu atakapowakilishwa mtaala wa elimu atajiuzulu ubunge kwani haupo tangu tupate uhuru.
Mtaala wa elimu umewakilishwa na kuundiwa Tume ya wabunge 6 itakayodhibitisha mtaala huo chini ya mama Magreth Sitta.
Tugemee nini kama itathibitishwa kwamba mtaala...
source: Star Tv saa 2 usiku huu.
dada machachali Pereso na anayesemekana kuwa karibu na Dk. Slaa amejiuzulu udiwani wa viti maalum karatu kwa mujibu wa kituo hicho cha TV.
kajivua udiwani wa viti maalum na kubaki na ubunge wa viti maalim kwa sababu hataki kushika vyeo viwili wakati mmoja.
Je...
My Take: Chadema isipokuwa makini umaarufu wake utapungua kutokana na migogoro mingi inayokikumba chama hicho. Mwaka 2015 si mbali jahazi linaonekana kuyumba ukilinganisha na huko nyuma. Wengi wataumia ndani ya chama hicho kwani umaarufu wa mtu unakuwa juu ya chama. Hizi tuhuma dhidi ya Lema...
source: WIKIPEDIA
ABEID AMANI KARUME.
Abeid Amani Karume (August 4, 1905 April 7, 1972), was the first President of Zanzibar. He obtained this title as a result of a popular revolution which led to the deposing of the last Sultan of Zanzibar Sultan Jamshid bin Abdullah in January 1964...
Wanafunzi zaidi ya laki 8 wa darasa la 7 wataanza mitihani yao kesho. wanafunzi hao ni kutoka zaidi ya shule za msingi elfu 13 kote nchini.
Hatua ya walimu wa sekondari kutumika kusimamia mtihani huo ni ya kupongezwa kwani inaboresha usimamizi makini. Mwanafunzi bora wa elimu ya msingi...
Memo ya mbowe kwa nchemba imeambatishwa.
Baada ya malumbano ya mbungeni Freeman Mbowe ambaye ni Mkuuwa kambi rasmi ya upinzani bungeni aliandika memo ambayo imeambatishwa kwa Mwigulunchemba, inasomeka kama inavyoonekana hapa chini:-
Mh. MWIGULU (MB)
- Ni dola ngapi umechangia...
Mazishi ya marehemu Yohana mpinga aliyeuawa na vijana wanaodaiwa kuwa wafuasi wa CHADEMA yanafanyika hivi punde katika kitongoji cha Kibaya kijiji cha Songambele kata ya Ndago wilaya ya Iramba.
Mkuu wa mkoa, naibu katibu mkuu CCM tanzania bara john Chiligati na mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba...
mods niko ndago msifute ni kweli.
wabunge wa chadema walifika saa
8.30 mchana huu lakini fujo na kuendelea kati ya mashabiki wa ccm na chadema watu wawili nimeona wamekufa na wengine kujeruhiwa kwa mawe. hali si shwari nitaleta taarifa zaidi baadaye natumia simu
KWENYE MKUTANO KUNA JOHN...
WAMILIKI WA VIWANDA VYA NGUO WANAMSHINIKIZA WAZIRI WA FEDHA DR MGIMWA AFUTE VAT KWA BIDHAA ZAO KWA KISINGIZIO CHA KULINDA VIWANDA VYA NDANI. HILI LIKIFANIKIWA LITAPUNGUZA MAPATO YA SERIKALI, NA BAYA ZAIDI TANZANIA ITAINGIA MGOGORO MKUBWA NA NCHI ZINGINE ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI. SHINIKIZO...
Wabunge kwa kutosoma vizuri bajeti wanaipongeza serikali kwa kufuta kodi ya bod boda wakati si kweli. Kodi ya mapato kwa bodaboda imeshuka toka 95,000/= mpaka 35,000/= kwa mwaka na si kufutwa. Upotoshaji huu utaigombanisha serikali na bodaboda baada ya bajeti.
My take: kitendo cha serikali...
Waaziri mkuu aliyetuhumiwa kwa kashfa ya Richmond, Edward Lowassa akimshika mkono mwakilishi wa kampuni ya Home Shopping Centre, Madiha al Harthy baada ya kutoa mchango wa shilingi 22,000,000. Kinachogomba si kutoa au kutotoa. Je wahusika wanalipa kodi vilivyo? Je kwanini akina Lowassa hawataki...
source: kwanzajamii
WANANCHI wa wilaya ya Maswa katika mkoa mpya wa Simiyu wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kuiondoa wilaya hiyo katika mkoa huo mpya ili wabaki katika mkoa wa zamani wa Shinyanga kwa madai kuwa hawakubaliani na uamuzi wa makao makuu ya mkoa huo kupelekwa wilayani Bariadi...
Kuna aina yoyote ya chakula kinachoweza kuzuia mchanga kukaa kwenye figo, na ni dawa gani inaweza kutumika kuondoa mchanga huo au hadi upasuaji ufanyike?
MSIMAMO WA CCM KUHUSU TUHUMA ZA KUHUSIKA NA MAUAJI YA WANACHADEMA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Hivi karibuni chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kilielezea kile ilichoeleza kuwa ni kutishwa na wimbi la mauaji yanayotishia amani ya nchi kikidai kuwa jumla ya wanachama wake...
source: mpayukaji.blogspot.com
Hakuna ubishi kuwa ndoa ya anayeitwa mfanyabiashara maarufu kwa jina la Mustafa Sabodo imeshika kasi. Kwa wanaojua jamaa zetu hawa walivyoletwa na kuchuma, anahofia usafi wa huyu jamaa anayesifika kutumia jina la marehem Mwalimu Julius Nyerere kujinufaisha...
Gazeti na Tanzania Daima la Tarehe 30 Aprili, 2012 liliandika kwamba wafuasi wa CHADEMA 15 wameuawa . Habari hii inaungana na kauli ya JOHN Mnyika kwamba wafuasi 15 wa Chadema wameuawa.
Madai haya yanatisha kwa sababu CCM imetawala muda wote tangu uhuru hatujasikia kuwa ni chama cha...
Tangu Sabodo alipoanza kumwaga fedha CHADEMA kumekuwepo na makundi mawili yanayopingana wale wanaosema msaada huo unaonyesha kwamba Sabodo ni mzalendo na wale ambao wanasema Sabodo anajiandalia mazingira mazuri kwa kucheza karata zake vema endapo CHADEMA wanakamata dola.
Mara nyingi...
picha za Rais na Ngeleja wakiwa malawi zimesambazwa hapa na kuibua mjadala mkubwa. Jf tuwe makini kuleta hapa habari za uongo?
Ni kweli ngeleja kaonekana kwenye picha akiwa na Rais lakini inaonyesha picha hiyo ilipigwa wakati Rais anaondoka Nyerere airport Darb es salaam ikiwepo pia Mkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.