Ukihiyo wa wabunge wa CCM umelifanya Bunge kukosa radha ya Moja ya Mhimili Muhimu kwa Nchi na kukosa Sifa ya Chombo cha Wananchi badala yake limekuwa kundi la wanasiasa wenye sura ya kihuni na hivyo kuharamisha Bunge kwa sababu wapo kwa maslahi ya Chama na Serikali na si maslahi Nchina wananchi...
Ukumbile Ikina ikitali uje kwingila juughwe Mzee Ndugai, tukubhakana loli 😅
Wakati Mwingine ukiishi kwa uaminifu mwingi mitandaoni hukosi la kujifunza. Hivyo hata vyeo vyenu mngetathimini kwa kuangalia Jamii inayowazunguka inawatazamaje??
Hata Mama Samia H Suluhu
Hana budi kuongeza jicho la...
Katika kumbukumbu zangu
Iliwahi kutokea hii mnamo mwaka 1999 Mkoani Mbeya pale shule za Meta na Sangu zote kwa pamoja wanafunzi waliandamana mpaka kwa Mkuu wa Mkoa wakipinga shule hizo kubadirishana wakuu wa shule Sangu wakitaka Mwl Mwankinga abaki pale pale na Meta pia hawakutaka mkuu wao...
R.I.P Holice Kolimba,
Ile CCM uliyosema "Imepoteza dira" siku chache kabla ya kifo chako......... Hivi sasa haisomeki kabisa, hata imelipatia tifa viongozi wasio na sifa, wengine wanadaiwa kughushi mpaka vyeti,
Wala hawaji hata hadharani kukanusha kwa kuleta vyeti vyao halali ili kuuzika...
wadau ni lini jeshi hili POLISI litarejeshwa kwa wananchi ambao ndiyo waajili wao kupitia idara ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao ili nalo lipate heshima?
Likaondokana na hii sura ya sasa ya kuwa Jeshi la kulinda viongozi wadhalimu na kupiga raia hovyo
Ukweli ni kwamba Itikadi za siasa zimekula uwezo wa kufikiri wa Vijana wasomi wengi sasa wamekuwa mapoza na wasio na faida kwa Taifa hasa kwa kuwa kila jambo kwao hutanguliza itikadi ya vyama vyao kisiasa wanapotakiwa kutoa maoni na kutafuta suluhisho! Ni Mtazamo tu.
tasunyata kama kinda,
ni spika wetu makinda,
sheria sasa zamdinda,
na hoja anazisunda.
wengi tumeshuhudia,
kwanza kilipowadia,
hasira kukusudia,
leo nimeshuhudia.
bunge limekosa spika,
viroja vitasikika,
aibu itawashuka,
kutuletea gebuka.
mengi tuliyoyahisi,
tutayasikia sisi,
makinda...
Cuf sasa ni kama lap top ya ccm bungeni itakayotumika kupitishia hoja
zake mbofu mbofu juu ya mstakabari wa taifa, kwa kweli cuf sasa hawawezi kupindua
mbele ya ccm ambayo ni kama mume wa cuf kwa sasa, maana viongozi wote wa CUF wameajiriwa na serikali ya ccm...
TUJADIRI
HIZI NI BAADHI YA HASARA ZAKE
1.) VURUGU
2.) UTUMIAJI MBOVU WA FEDHA
3.) UZINIFU
4.) AJILI
5.) INAKUTENGA NA MUNGU
6.) MAGONJWA eg Kama ya figo na mapafu pia moyo
7.) HUARIBU UTU
9.) MAJUTO
10.)...........
11.).................
ni heri kuimwaga damu kuliko kukubari kupolwa haki
maana haki ni heshima ya utu wa mtu, unapo nyang'nywa
haki na kukubari kunyang'anywa, huna tofauti na mwanaume
aliyeuvua uwanaume wake kwa mwanaume mwenziye
kwa mfumo huu ni wazi kuwa CCM, NEC, na taasisi zake
vimefanya ubakaji kwa kuyasasambula matokeo ya wabunge
na uraisi ili kumpa nafasi Kikwete na kundi lake la mafisa
kuhakikisha kuwa wanaendelea kulawiti mali za umma,
huku wakiwalazimisha watanganyika wote wasomo na waelewa
kuonekana kuwa ni...
Kwa jinsi mwenendo mzima unavyokwenda wa swala zima la kuhesabu kura kufuatia uchaguzi mkuu wa wabunge, madiwani na Urais, Tanzania itaongozwa na raisi aliyepatikana
kwa nguvu ya dora na hujuma
Nawapenda sana nyote, na upendo wangu kwenu utazidi sana mkitumia busara na hekima kumpeleka Dr Slaa ikulu ili kuiongoza nchi hii na kuisaidia kiMaendeleo na kujenga utu wa Mtanzania wenye heshima
.!!!!
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limemkamata na kumfikisha Mahakamani mfanya biashara mmoja ayetoa taarifa za uongo kuwa katika eneo la Tunduma mpakani mwa Tanzania na Zambia kulikua na gari lililobeba nyaraka bandia na masanduku ya kupigia kura wakati huu wa kampeni za uchaguzi Mkuu wa Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.