Search results

  1. 2c2

    Msaada tafadhali, Namna ya Kublock baadh ya Number za simu(Black listing)

    Wadau naombeni mnisaidie kuna baadhi ya Number sitaki zikinipigia wala kuniandikia SMS zinipate natumia program gani,, niliambiwa kuwa watu wanaotumia samsung galax wanaweza fanya hii kitu ila imeniwia ngumu kwa kutumia NOKIA LUMIA 620 Msaada Please.
  2. 2c2

    Nimetokewa na uvimbe kichwani naomba msaada

    Kwanza nianze kwa kuwapongeza wana Jamii forum kwa michango yenu mnayoitoa katika mada mbalimbali humu jamvini kwani imekuwa msaada kwa Watanzania wengi sana Mungu aendelee kuwabariki na awape akili ya kujua zaidi mambo. Naomba msaada kwenu madaktari na watu wenye utaalamu binafsi mlioupata kwa...
  3. 2c2

    Msaada kwa anayejua nafasi za kazi nhif na tpdc watu wameitwa kazini?

    tafadhali mwenye taarifa kuhusu hizi nafasi zilizotangazwa miezi ya hapo nyuma naomba anihabarishe
  4. 2c2

    Tutegemee nini kutoka kwa Waziri mpya wa Viwanda na Bishara Mh. Abdallah Kigoda?

    Baada ya kufanyika mabadiliko katika baraza la Mawaziri tulipata kusikia baadhi ya mawaziri wakiachishwa kutokana na kutokuwa na utendaji mzuri au kwa kuonewa kama "walivyojitetea" na Mh. Abdalla Omari Kigoda ambaye aliwahi kuwa katika Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi aliteuliwa kuiongoza...
  5. 2c2

    kutokwa povu na damu mdomoni

    msaada wenu madaktari naomba mnisaidie sababu zinayoweza kumfanya mtu akatoka povu na damu refer kanumba dearth cause sifikiri kama m2 akianguka tu inaweza kuwa sababu
  6. 2c2

    Nataka msaada siitaji kutumia vyakula vyenye kolestral tena naomba msaada wa mbadala

    nataka niache kabisa kutumia vyakula vitakavyo nifanya nipate kolestral, nimeanza zoezi hilo mwezi huu lakini mara nyingi sana najikuta nashinda na njaa kwa kukosa au kutokujua nile/ nipike nini, msaada please wa mawazo
  7. 2c2

    Gombe National Park

    Naomba msaada,,, ivi maisha gombe national park kikazi yakoje
  8. 2c2

    OFFICIAL REGISTRATION AS JF MEMBER na Mungu anisaide kusema ukweli

    Baada ya kuchukua muda kuifahamu jf na kuvutiwa na yale yanayojiri katika jamvi hili naomba mnikaribishe rasmi,,, naahidi kuwa mchangiaji na mtoa mada mzuri sana katika forum hii,,,,,, Na Mungu anisaidie
  9. 2c2

    Naanza maisha ya ubachelor alone please you help me

    naanza maisha ya ubachelor wadau naomba msaada wa vitu muhimu ninavyotakiwa kuwa navyo chumba nimeshapata rum(master) na sebule nna kitanda teyari 5 kwa 6
  10. 2c2

    Toyota mark ii gx 100 ya mwaka 2000

    NINAUZA TOYOTA MARK II GX 100 ya mwaka 2000 bei 8.8 IMEINGIA TANZANIA MWAKA JANA MWEZI WA SITA mawasiliano 0713 99 45 42 (picha zipo nimeshindwa kuattach hapa)
  11. 2c2

    kazi BOT

    EMPLOYMENT OPPORTUNITIES The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania’s central bank, is looking for suitably qualified Tanzanian citizens of high personal integrity to fill the following vacant positions at its Headquarters, Dar es Salaam, Branches (Mbeya & Zanzibar) and...
  12. 2c2

    Remote ya lg lcd tv

    Mi natafta sehemu naweza pata remote ya LCD LG tv yangu,,,, naomba msaada kama hizi remote huwa zinaingiliana
  13. 2c2

    Mnyika, Lissu wameianza kazi waliyotumwa

    Aanza kwa kuukosoa uchaguzi wa waziri mkuu kwani karatasi zilikuwa na serial numbers kitu ambacho kingesababisha aliyepiga kura kujulikana na hivyo dhana nzima ya USIRI kuondoka
  14. 2c2

    Network marketing in Tanzania

    salam jf Wakuu ebu tusaidiane katika hili, network marketing inafanyaje kazi kwa tanzania, tofauti na bidhaa za alovera, kuna bidhaa za ndani ambazo zinatumia mfumo huu wa biashara na kama hazipo kuna uwezekano wa kuwa nazo?
Back
Top Bottom