L.O.L ananunue carton nzimaenough food, drinks and
( condoms..incase of emergency)
Ningejua umri wako
ningekwambia nini unahitaji..
wakiume
naanza maisha ya ubachelor wadau naomba msaada wa vitu muhimu ninavyotakiwa kuwa navyo chumba nimeshapata rum(master) na sebule nna kitanda teyari 5 kwa 6
Kupika tu subiri atapatikanakupika sjui the finest ,paw hawa home appliances wanajjishughulisha na nini na wanapatikana wapi
Kupika tu subiri atapatikana
Nunua Godoro, kapeti, stuli 2 jiko la mchina, sahani 3, bakuri 3, vikombe 2, sufuria 3, ndoo za maji 4 ndogo 2, dodoki, redio ndogo ......
DENA NA FIDEL80
Wamekupa..
Tf atakusaidia jikoni
Na dhani matatizo yameisha..