princess enny
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 1,038
- 379
basi moja la abiria lilipata ajali liliteleza na kutumbukia mtoni,
kila mtu akajiokoa mwenyewe, kuna zuzu moja alipofika juu akavua nguo zote akajtosa tena!
watu wakashangaa na kumuuliza "we vipi?" akajibu
"naenda kumfata konda hajanirudishia chenji yangu"
kila mtu akajiokoa mwenyewe, kuna zuzu moja alipofika juu akavua nguo zote akajtosa tena!
watu wakashangaa na kumuuliza "we vipi?" akajibu
"naenda kumfata konda hajanirudishia chenji yangu"