Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za kisiasa nchini

Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za kisiasa nchini

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
448
Reaction score
3,360
Mahakama ya rufani kanda ya Dodoma imetengua maamuzi ya Mahakama kuu yaliyoizua CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa nchini katika kesi iliyofunguliwa na Said Issa na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa chama na Katibu Mkuu, maarufu kama kesi ya Mgawanyo wa mali za chama.

Sasa CHADEMA ni ruksa kuendelea na shughuli za kisiasa nchini.

Aidha, mahakama imeelekeza kubadilishwa kwa Jaji aliyekuwa akisikiliza shauri hilo, huku kesi ikiendelea kusikilizwa kulingana na taratibu za kisheria.

1000703464.jpg


Soma>> CHADEMA: Mahakama ya Rufaa kusoma uamuzi wa kesi ya Saidi Issa Mohamed leo Aprili 15, 2026

Taarifa zaidi zitafuata.
 
Mahakama ya rufani kanda ya Dodoma imetengua maamuzi ya Mahakama kuu yaliyoizua CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa nchini, kufuatia kesi iliyofunguliwa na Said Issa, maarufu kama kesi ya Mgawanyo wa mali za chama.

Sasa CHADEMA ni ruksa kuendelea na shughuli za kisiasa nchini.

Taarifa zaidi zitafuata.
Kweli ripoti ya Chade matukio ya Oktoba 29 inakaribia, si kwa msawazisho huu
 
Mahakama ya rufani kanda ya Dodoma imetengua maamuzi ya Mahakama kuu yaliyoizua CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa nchini, kufuatia kesi iliyofunguliwa na Said Issa, maarufu kama kesi ya Mgawanyo wa mali za chama.

Sasa CHADEMA ni ruksa kuendelea na shughuli za kisiasa nchini.

Taarifa zaidi zitafuata.
Lengo lao lishatimia.
 
Haki ya kikatiba mpaka iruhusiwe na mahakama, ajabu sana.

Chadema ilizuiwa makusudi ili CCM inufaike, now CCM wameshapata walichotaka, Chadema imeruhusiwa kuendelea na mikutano.

Hapakuwahi kuwepo sababu yoyote ya msingi kuizuia Chadema kufanya shughuli zake kisiasa.

Hii tabia ya kushangilia haki yako uliyonyan'ganywa unaporudishiwa haifai, inatuonesha tulivyo dhaifu na wanavyoweza kutuchezea kila wakitaka.
 
Mahakama ya rufani kanda ya Dodoma imetengua maamuzi ya Mahakama kuu yaliyoizua CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa nchini, kufuatia kesi iliyofunguliwa na Said Issa, maarufu kama kesi ya Mgawanyo wa mali za chama.

Sasa CHADEMA ni ruksa kuendelea na shughuli za kisiasa nchini.

Taarifa zaidi zitafuata.
Majaji ni akina nani
 
Mahakama ya rufani kanda ya Dodoma imetengua maamuzi ya Mahakama kuu yaliyoizua CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa nchini katika kesi iliyofunguliwa na Said Issa na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa chama na Katibu Mkuu, maarufu kama kesi ya Mgawanyo wa mali za chama.

Sasa CHADEMA ni ruksa kuendelea na shughuli za kisiasa nchini.

View attachment 3573052

Soma: CHADEMA: Mahakama ya Rufaa kusoma uamuzi wa kesi ya Saidi Issa Mohamed leo Aprili 15, 2026

Taarifa zaidi zitafuata.
Charm offensive
 
Mahakama ya rufani kanda ya Dodoma imetengua maamuzi ya Mahakama kuu yaliyoizua CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa nchini, kufuatia kesi iliyofunguliwa na Said Issa, maarufu kama kesi ya Mgawanyo wa mali za chama.

Sasa CHADEMA ni ruksa kuendelea na shughuli za kisiasa nchini.

View attachment 3573052

Taarifa zaidi zitafuata.
Wamebana wameachia
IMG-20260415-WA0001.jpg
 
BREAKING NEWS CHADEMA FREE TO CONTINUE POLITICAL ACTIVITIES - COURT RULES‼️
The Court of Appeal in Dodoma has ruled that the only real opposition party
@ChademaTZ2
that was illegally banned from conducting political activities last year is now free to conduct activities as it wishes!
This is following IMMENSE pressure from international community, citizens and human rights activists! Much appreciation to all!
 
Back
Top Bottom