Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,776
- 3,356
Salaam! Msanii pekee wa kike kutoka wcb amekuwa akitoa mfululizo wa nyimbo ambazo kiutamaduni zinaathiri kizazi chetu cha baadae "honey wangu akinuna namkatia mabuno" imagine watoto wangapi wanaimba hii nyimbo?
Ombi langu kwa Basata msifungie nyimbo zinazokashif mamlaka tu! Camera yenu imulike upande wa hii lebo na kizazi chake wanaibomoa na kuirarua jamii.
Ombi langu kwa Basata msifungie nyimbo zinazokashif mamlaka tu! Camera yenu imulike upande wa hii lebo na kizazi chake wanaibomoa na kuirarua jamii.