Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,451
- 4,374
Mkuu kikubwa ni kutimiza majukumu yetu kama wazazi tusiwalinde saaana hawa watoto.
Maana hakunaga bingwa wa malezi watoto wakiamua kukengeuka hata uwe Pastor/Sheikh kamwe hutaweza.
Asanteš
Maana hakunaga bingwa wa malezi watoto wakiamua kukengeuka hata uwe Pastor/Sheikh kamwe hutaweza.
Asanteš