Zuchu apata dili nono la ubalozi

Hziyech22

JF-Expert Member
Jun 8, 2019
13,583
18,910
Msanii wa kizazi kipya Zuchu amekuwa akipata Mafanikio kwenye mziki tokea alivyotambulishwa kwenye industry ya Muziki na Jana amesaini kuwa balozi ya kampuni kubwa ya vipodozi ya nchini Tanzania Tridea cosmetics.

Baada ya hiyo deal msanii Zuchu ametoa shukrani kwa mashabiki "Nashukuru Sana mashabiki kwa kunisapoti na kuwa sehemu ya Mafanikio yangu lakini pia nashukuru pia Tridea cosmetics kwa kuniamini kutangaza bidhaa zenu,Nitajitoa kutangaza kea kiasi kikubwa"
 
Msanii wa kizazi kipya Zuchu amekuwa akipata Mafanikio kwenye mziki tokea alivyotambulishwa kwenye industry ya Muziki na Jana amesaini kuwa balozi ya kampuni kubwa ya vipodozi ya nchini Tanzania Tridea cosmetics.

Baada ya hiyo deal msanii Zuchu ametoa shukrani kwa mashabiki "Nashukuru Sana mashabiki kwa kunisapoti na kuwa sehemu ya Mafanikio yangu lakini pia nashukuru pia Tridea cosmetics kwa kuniamini kutangaza bidhaa zenu,Nitajitoa kutangaza kea kiasi kikubwa"
So what?
 
Back
Top Bottom