BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,102
- 14,024
Matajiri wanadai wanapunguza cost, madereva wanalalamika hakuna comfortability
Sachman ni gari aiseemchina ni zile SHACMAN new model aseeee mchina anazidi kuwapumulia wazungu
Labda Faw ila Howo anajitahidi...Faw model zote kioo unapandisha kwa mkono kmmk, 😂Sinotruck hamna kitu
Jamaa una chuki tu na howoMchina sijui aliwaza nini hii logo Iko kama kichwa cha mshedede.
Namsifu kasaidia kurahisisha maisha gari bei nafuu kulinganisha na gari za ulaya
View attachment 3381896
Sijui ni lini nimeona iveco yaani sikumbukiMchina kaja kuharibu hii tasnia, siku hizi kuona Actros, Stralis, 124, DAF XF yaani ni nadra, yamejaa haya Machina Machina tu
IVECO walikua watamu wana Trakker na Stralis dah kitambo sana. Aisee, sijaziona muda na mimiSijui ni lini nimeona iveco yaani sikumbuki
Nnazo IVECO mbili,moja imekufa engine niliagiza engine used UK aisee nimepigwa Engine imekuja hamna kitu imeoza.Moja ndio kidogo inajikongoja lakini Fundi akae standbySijui ni lini nimeona iveco yaani sikumbuki
Na Ile shack ni pendekezo la msouth Africa na engene ni mmarekanimchina ni zile SHACMAN new model aseeee mchina anazidi kuwapumulia wazungu
The best of them all kwa macho madogo ni zile SITRAK za bakhresa I bet zile ni special order sioni mtu mwingine aliyenazo, I stand to be corrected.mchina ni zile SHACMAN new model aseeee mchina anazidi kuwapumulia wazungu
Hivi prime fuel nae ametupa taulo ameacha kushusha MP3 na 4?.IVECO walikua watamu wana Trakker na Stralis dah kitambo sana. Aisee, sijaziona muda na mimi
Mkuu hongera sana kuhusu iveco wataliano sijawahi kuona kama wamebobea sana kama wajerumani na waswidi huwa nahisi tu huko Italia kuna wazee peke yao.Nnazo IVECO mbili,moja imekufa engine niliagiza engine used UK aisee nimepigwa Engine imekuja hamna kitu imeoza.Moja ndio kidogo inajikongoja lakini Fundi akae standby
Iveco ni gari inayosumbua sana maana ni Full umeme.
IVECO inaweza kukufanya wewe mmiliki,fundi wako na dereva mkaanza kutafuta fundi,matajiri wengi kwa sasa hawatumii iveco,zimebaki kwa matajiri wachache sana kina Asas labda..Ssi wengine tunaoanza biashara tunawavua watu kwa million 20 hadi 30 unapata na trailer lako la mtumba unaingiza gari barabaran ukae roho juu,ukiibiwa Adblue sensor tu andaa 600,000 hapo bado turbo haijasumbua bila kusahau ukikwanguliwa tu side mirror bei yake 350,000 na ikifika kwenye service Oil filter,water separator na Diesel Filter andaa laki tatu kupata hii set...wakati kwa mchina vyote hivi havifiki laki na nusu
View attachment 3381957
Hii imetokea leo tu kwa IVECO yangu moja inayojikongoja ipo na mzigo wa watu kwenda Kenya huko