Mwakyembe ni FISADI kuliko hao anaowataja, sema yeye ni mwanasheria, hatumii jina lake, lakini fisadi mkubwa asitudanganye chochote
Kaka unataka kumpotezea mwenzako Tonge mdomoni? hayo yote anayajua na ni mwanasheria numberi 1, Nyie potezeeni tu, Mpendazoe acha kuwakumbusha watu yaliyopita.
Kwa sasa ni kuvuana magamba sasa hayo mengine tena ya zamani ni ya nini tena?
pole mwakiembe, tulikushauri utoke kwenye hicho chama cha magamba ukakataa. sasa wananchi wameshtuka kwamba shida siyo mtu bali ni mfumo mzima wa ccm