yani hilo zoezi kiufupi limeshafeli..wananchi hawajatayarishwa vizuri.kwa mfano mikoa yenye waislam wengi kama pwani,wananchi wengi hawataki ata kuliskia..na shekhe ponda ndo huyo wanamsikiliza..sasa serikali ingeanza na kumuelimisha kwanza sheikh ponda alafu ili atumie nguvu aliyonayo kuwashawishi waislam, kwasababu yeye mwenyewe elimu kidogo tatizo ndo maana haelewi maana ya sensa..ni maoni tu.
shekh ponda ni kichwa ndio mana wengi tuko nae bega kwa bega. Wacha serikali ifanye majaribibio.