Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Jamani Ikiwa Zoezi La Kuapishwa Kwa Wabunge Linaendelea, Je Sheria Inasemaje Kuhusu Wabunge Ambao Kwenye Majimbo Yao Kesi Zipo Mahakamani Za Kupinga Matokeo Kwamba Hayakuwa Ya Haki??
Kutakuwa na uwezekano Tena Kwa Mbunge ambaye Tayari Amekwishaapishwa Kufutwa Kutokuwa Mbunge Tena??
Karibuni
Kutakuwa na uwezekano Tena Kwa Mbunge ambaye Tayari Amekwishaapishwa Kufutwa Kutokuwa Mbunge Tena??
Karibuni