leonard kamalamo
Member
- Apr 24, 2020
- 37
- 15
Ndugu wana jamii,ni jambo la kusikitisha kuona ziwa victoria kugeuzwa na baadhi ya watu kuwa eneo lao la kutupa takataka mbali mbali zikiwemo zile ambazo ni hatarishi kwa afya ya viumbe hai vilivyomo ziwani humo.Jambo hili ni hatari pia kwa watumiaji wa rasilimali mbalimbali zinazopatikana kwenye ziwa hilo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app