Mmh Lundavi mbona kama hili ni suala binafsi sana?Nimemfuatilia sana zitto hivi karibu nikagundua kuwa anakuwa rafu sana hasa katika upande wa ndevu. Naomba kwa walio karibu nae wamwambie kuwa mimi ananikera sana, hata kama yupo bize kwa hili hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ni binafsi lakini limenikera kwani muonekano wake umekuwa mbaya
Tatizo letu kubwa ni kutopenda kukerwa dhidi ya utashi wetu hata kwenye suala timilifu ambapo mja akizungumza hata kama ni la logic lakini kwa vile hatulipendi jambo hilo basi humshambulia msemaji kwa maneno makali.Nimemfuatilia sana zitto hivi karibu nikagundua kuwa anakuwa rafu sana hasa katika upande wa ndevu. Naomba kwa walio karibu nae wamwambie kuwa mimi ananikera sana, hata kama yupo bize kwa hili hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo unamfananisha zito na watu ambao waliishi hivyo miaka yao yote. Zito hatujamfahamu leo na muonekano wake Siku zote unafahamika ni wakutofuga mindevu. Angekuwa alijiweka hivyo toka zamani wala hii maada isingekuwepo, kama kuna watu wamemshauri kuwa kupitia kufuga mindevu ndio uzalendo au ndio uanaharakati wamempotosha. Sisi tunamuelewa zaidi akiwa smart yaani hana ndevu.Hi Post Ingependeza Km Mtoa Mada Atakua Mwanamke Otheryz Mtoa Mada Ajitafakari. Labda Angesema Mavazi, Lkn Vtu Km Ndevu, Garden Love, Six Au 4 Packs Waachie Madem Zake Aisee. Unaonekana Una Shda Kdogo Sema Hujijui Tu. Maustaadh Wengi Wanafuga Inamaana Ni Wachaf Au Unatukana Dini Flan? Ni Sawa Na Kumng'ang'ania Mwanaume Mwenzio Akakatwe Suna Wkt Halikuingii Ww. Hata Yesu Kristo Aliishi Na Midevu Na Alikuwa Msafi Tu, Hata Mababu zetu Walikua Hawanyoi, Chunguza Jamii Ambazo Bado Znaish Kijima Mf. Wahazabe, Wasandawe Ndo Utajua. Mengine Zlikua Tamaduni Tu Za Kizungu Japo Hata Wao Wapo Wanao Fuga. Mf. Rooney Alipokuja Mbona Hukumshauri Anyoe?
Misemo mingine ya wahenga inamapungufu sana Mkuu, hasa huo ulioukalili. Jitahidi kuchanganya na yako kidogo, huwezi ishi na watu ukajadili masuala ya nyani.Watu wenye akili ndogo huwa na desturi ya kujadili maisha ya watu.....
Umaghalibi umekuathiri sana Mkuu, jitathmini.Kama mleta uzi ni Mwanamke chukua hii itakufaa!!View attachment 552884
Mkuu wewe jinsia gani?Nimemfuatilia sana zitto hivi karibu nikagundua kuwa anakuwa rafu sana hasa katika upande wa ndevu. Naomba kwa walio karibu nae wamwambie kuwa mimi ananikera sana, hata kama yupo bize kwa hili hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa imani yake au ndevu zake zinakukera nini kama sio mchicha pori wewe?Wenyewe watakuambia ibada.... Imani nyingine ujinga mtupu..
Hakuna mke anayependa uchafu, hata kama anahitaji mumewe awe na ndevu basi atahaikisha anchana vizuri na kurekebisha pale anapoona hapampi taswira nzuri mumewe
Kwa hiyo ni faida gani utaipata kwa kujadili maisha ya watu?Misemo mingine ya wahenga inamapungufu sana Mkuu, hasa huo ulioukalili. Jitahidi kuchanganya na yako kidogo, huwezi ishi na watu ukajadili masuala ya nyani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemfuatilia sana zitto hivi karibu nikagundua kuwa anakuwa rafu sana hasa katika upande wa ndevu. Naomba kwa walio karibu nae wamwambie kuwa mimi ananikera sana, hata kama yupo bize kwa hili hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunamjadili kwa kua tunaogopa kuwa na waziri wa nishati mchafu kama vile,mwambieni kaka yenu mganga wake ambadilishie masharti hayo aliyompa yanamdharirisha mbele ya jamii atayoiongoza, si haba pale hata mswaki hapigiKwa hiyo ni faida gani utaipata kwa kujadili maisha ya watu?