Zitto Zuberi Kabwe punguza uchafu

Zitto Zuberi Kabwe punguza uchafu

Hata picha za yesu alikuwa anafuga ndevu na pia anavaa kanzu ..na yesu anasema jitieni nira yangu na mjifunze kwangu....sasa leo kufuga ndevu unakuita ujinga....hahaha yaani siku hizi kuwa mkiristo maana yake ni kupinga wanavyofanya waislamu hata kma biblia imeandika huwa mnavikana so long waislamu wana pracise hiko kitu

Sent using Jamii Forums mobile app

Na kuongezea tu hapo kwa wanao amini 'Jews' ni wateule mbona pia ufugaji wa ndevu ni kama sehemu ya utamaduni wao

Kikubwa ndevu kwa wafugao ni kuziweka vizuri tu ku 'trim' mara kwa mara na sio kama ndevu za wapigania uhuru zilivyokuwa,

Kwa ufupi mashariki ya kati karibu wote wana utamaduni wa kufuga ndevu (Moslem &Jews) na pia inawezekana ni sehemu ya iman zao
 
Ukisoma thread hii unagundua watu wengi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri.Mfano watu wa zamani hata nywele walikuwa hawakati bali walizisokota!Kwa nini?Hapakuwa na nyenzo nzuri za kunyolea nywele,sembuse ndevu?Wazungu ndevu zao zimechanika hazijafungamana kama zinavyofungamana zetu na kuwa kama kichaka!
Kuna wanawake wengi wana ndevu ila sijaona mwanamke mwenye mustachi!Kwa hiyo mustachi ndiyo hasa alama ya nje ya mwanaume


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisoma thread hii unagundua watu wengi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri.Mfano watu wa zamani hata nywele walikuwa hawakati bali walizisokota!Kwa nini?Hapakuwa na nyenzo nzuri za kunyolea nywele,sembuse ndevu?Wazungu ndevu zao zimechanika hazijafungamana kama zinavyofungamana zetu na kuwa kama kichaka!
Kuna wanawake wengi wana ndevu ila sijaona mwanamke mwenye mustachi!Kwa hiyo mustachi ndiyo hasa alama ya nje ya mwanaume


Sent using Jamii Forums mobile app
Nashaka na uwezo wako wakufikiria mkuu lazima tujifunze kukosoa kwa staha mkuu.
Nihaki yetu kikatiba kutoa mawazo yetu.

mafisadi hayana chama
 
Back
Top Bottom