Vp yesu, alishawahi kunyoa au na yy alikuwa kama hao unaowasema..!??Wenyewe watakuambia ibada.... Imani nyingine ujinga mtupu..
UMEONA HILO TUU! FICHA UJINGA BASII!Ibada ya kubeba mawe Afrika kwenda kumtwanga mawe Uarabuni. Ila sio fair aisee. Ngozi nyeupe wajanja sana wanatuumiza huku wanatuchekea kwa ujira wa pakiti ya Tende
Mind you, ana wake Wawili..
Kutopenda ndevu ni dalili ya muathirika wa kusagwa hata babu yako ambaye hakua na dini hizi aliheshimu udume wake nakuwa na ndevuIbada ya kubeba mawe Afrika kwenda kumtwanga mawe Uarabuni. Ila sio fair aisee. Ngozi nyeupe wajanja sana wanatuumiza huku wanatuchekea kwa ujira wa pakiti ya Tende
Picha?Hakika hata mie ananikera,muonekano wake umekua ni mbaya na anaharibu heshima nzima ya wabunge wenzie maana wao ndio tulitarajia wawe na muonekano wa kupendeza ili vijana wajifunze kwao lakini yeye ndie amekua kama fundi Cherehani wa ujiji sokoni, kiufupi ana mdharirisha mkewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana ni mbinu za kisiasa ili ateke mashabiki wengi wa kigoma ujijiNimemfuatilia sana zitto hivi karibu nikagundua kuwa anakuwa rafu sana hasa katika upande wa ndevu. Naomba kwa walio karibu nae wamwambie kuwa mimi ananikera sana, hata kama yupo bize kwa hili hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
we mwanaume unamuanzishia kabisa mwanaume mwenzio uzi wa eti kuwa ndevu zake zinakukera,come on, thats mad suspect.Nimemfuatilia sana zitto hivi karibu nikagundua kuwa anakuwa rafu sana hasa katika upande wa ndevu. Naomba kwa walio karibu nae wamwambie kuwa mimi ananikera sana, hata kama yupo bize kwa hili hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mke wa ngapi?;ila wake wenza mmejaa wivu na visasiMind you, ana wake Wawili..
Ndevu zilizo kwenye kidevu cha mwanaume mwengine zinakukera nini?,its a free country ukiamua una fuga ukiamua unanyoa,ukiamua kupaka super black wevu blichi shauri yako,na uwaache na wenzio waishi maisha waliyoyachaguaWenyewe watakuambia ibada.... Imani nyingine ujinga mtupu..
Kama mkewe ndo anamwambia afugeHakika hata mie ananikera,muonekano wake umekua ni mbaya na anaharibu heshima nzima ya wabunge wenzie maana wao ndio tulitarajia wawe na muonekano wa kupendeza ili vijana wajifunze kwao lakini yeye ndie amekua kama fundi Cherehani wa ujiji sokoni, kiufupi ana mdharirisha mkewe
Sent using Jamii Forums mobile app