Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,275
- 4,607
Acha kufatilia mambo yasiyokupa faida/furaha yoyote maishani.
Muda unautoa wapi wakufatilia maisha ya mtu tena kitu kinachoitwa ndevu...na kama wewe ni njisi "Me" utakuwa na matatizo makubwa.
Acha kufatilia mambo yasiyokupa faida/furaha yoyote maishani.
Acha kufatilia mambo yasiyokupa faida/furaha yoyote maishani.
Muda unautoa wapi wakufatilia maisha ya mtu tena kitu kinachoitwa ndevu...na kama wewe ni njisi "Me" utakuwa na matatizo makubwa.
wee jifanye upo busy wakati huna lolote. Ukiwa Jf tu maana yake na wewe ni mfuatiliaji wa mambo yasiyokupa faida. Halafu punguza kukalili jifikirishe hata kidogo.mkewe yupi au huyu aloleta uzi!!! hivi ndevu zake zina athari gani kwa mustakabali wa wapiga kura wake?Hakika hata mie ananikera,muonekano wake umekua ni mbaya na anaharibu heshima nzima ya wabunge wenzie maana wao ndio tulitarajia wawe na muonekano wa kupendeza ili vijana wajifunze kwao lakini yeye ndie amekua kama fundi Cherehani wa ujiji sokoni, kiufupi ana mdharirisha mkewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ni sunna! Kuna namna ya kuzitengeza na sio kama zake zilivyokaa rafu rafu kama kichaa!Mkuu ile ni sun'a
Jifanyie upembezi yakinifu na ujipitie upya..![]()
![]()
![]()
wee jifanye upo busy wakati huna lolote. Ukiwa Jf tu maana yake na wewe ni mfuatiliaji wa mambo yasiyokupa faida. Halafu punguza kukalili jifikirishe hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zina muonekano mbaya na kusadifu kua huyu mtu ni mchafu wa mwili, kiongozi hasa yule aliye kijana ni Mfano wa kuigwa na wengi kuanzia kimuonekano mpaka kimatendo.....hivyo tu elewa hivyomkewe yupi au huyu aloleta uzi!!! hivi ndevu zake zina athari gani kwa mustakabali wa wapiga kura wake?
Nasikia nawe wafwata darsa la kufuga ndevu chafu chafuJifanyie upembezi yakinifu na ujipitie upya..
Wewe unafatilia vitu vidogo-vidogo tena visivyo kupa faida/furaha au kukuongezea maarifa.
Unafatilia ndevu za mwanaume..? huu si ni uzwezwe...?
Nyinyi ndio mnapaswa mpewe darsa.
Kama unafatilia wanao vaa mlege/ kata k. Sembuse mm kufuatilia uchafu wa ndevu.Jifanyie upembezi yakinifu na ujipitie upya..
Wewe unafatilia vitu vidogo-vidogo tena visivyo kupa faida/furaha au kukuongezea maarifa.
Unafatilia ndevu za mwanaume..? huu si ni uzwezwe...?
Nyinyi ndio mnapaswa mpewe darsa.
Chafu chafu waziona wewe.
Chafu chafu waziona wewe.
Au ushawi kuishi naye...?
kwenye Tv tu amenichefua nikiishi nae si ndo ntatapika kabisaa! Viongozi shart wawe wasafi na muonekano nadhifu,mume wangu siwezi kumruhusu atoke nje kwenye mihangaiko akiwa vile lol Wanakandanda!!!Kama unafatilia wanao vaa mlege/ kata k. Sembuse mm kufuatilia uchafu wa ndevu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanasiasa maarufu tanzania huyo. Tena tambua huyo ni public figure hatuwezi kumuacha awe mchafu kiasi kile. Ndio maana hata wewe unapofuatilia kabumbu yule anayekosa goli ndani ya kumi na nane lazima huwa anakukera. Ndivyo mm nilivyokereka na mindevu iliyo shaghalabaghala kwa mwanasiasa maarufu na mwenye heshima ndani na nje ya nchi.Wanakandanda!!!
Karibu kwa kambumbu...hao wanavaa legeza uwanjani pale tuwatazamapo na wanasakata kandanda kweli kweli na wanatupa burani tosha ya mchezo.
Sasa wewe huo uchafu wa ndevu unaozungumuzia wa bwana huyu umeuthibitisha wapi...?
Au unaona ndevu kuota pasipo kubughudhiwa unaona ni uchafu ...?
Au mwenzetu unaishi naye chumba kimoja...?
Nilikuwa najaribu kujua kama wanaokubaliana na hoja hii ni jinsia ya ME au KE kwani inategemewa wengi watoke kwenye jinsia ya KE, hebu tujaribu kuona kama hili ni kweli.Hakika hata mie ananikera,muonekano wake umekua ni mbaya na anaharibu heshima nzima ya wabunge wenzie maana wao ndio tulitarajia wawe na muonekano wa kupendeza ili vijana wajifunze kwao lakini yeye ndie amekua kama fundi Cherehani wa ujiji sokoni, kiufupi ana mdharirisha mkewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mwanamke na siwezi kumuacha mume wangu atoke mchafu mchafu vile Mbele ya mediaNilikuwa najaribu kujua kama wanaokubaliana na hoja hii ni jinsia ya ME au KE kwani inategemewa wengi watoke kwenye jinsia ya KE, hebu tujaribu kuona kama hili ni kweli.
Nimemfuatilia sana zitto hivi karibu nikagundua kuwa anakuwa rafu sana hasa katika upande wa ndevu. Naomba kwa walio karibu nae wamwambie kuwa mimi ananikera sana, hata kama yupo bize kwa hili hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimaanisha kuwa Ndevu ni Uchafu utakuwa unamtusi waziwazi Mtume Muhammad (S.A.W)Nimemfuatilia sana zitto hivi karibu nikagundua kuwa anakuwa rafu sana hasa katika upande wa ndevu. Naomba kwa walio karibu nae wamwambie kuwa mimi ananikera sana, hata kama yupo bize kwa hili hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkewe alikuambia kuwa anadhalilishwa?Hakika hata mie ananikera,muonekano wake umekua ni mbaya na anaharibu heshima nzima ya wabunge wenzie maana wao ndio tulitarajia wawe na muonekano wa kupendeza ili vijana wajifunze kwao lakini yeye ndie amekua kama fundi Cherehani wa ujiji sokoni, kiufupi ana mdharirisha mkewe
Sent using Jamii Forums mobile app