Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Pasco wewe ni Mwanasheria, hii taarifa inaonekana haujaipata kwa source, hivyo ni tetesi tu, labda ndio maana umeiclassify hii kitu kama tetesi, sasa kwa nini unatuambia sisi tumekuwa first tu know??

Au ndio umeleta propaganda kwamba ANAMVUTO? ANAMVUTO GANI?

Kama anamvuto muite nyumbani kwak, umpikie chai mnywe.
 
Last edited by a moderator:
Paco kama kweli ni uhuru wa habari, kwanini unaanza kujenga mizengwe ya watu wasitaje majina? Maana hata wakiataja majina haimaniishi kuwa ndio hitimisho.
Back to ze topic, kushindwa au kufanikiwa kwa Chama Hicho hakutegemei uwepo au kutokuwepo kwa mtu bali misingi madhubuti iliyojengwa na kukuzwa kila mahali. Labda tufanye hivi, kwa mfano, CHADEMA IKISHINDA 2015, USHINDI WA AINA YOYOTE ILE (URAISI AU KUONGEZA WABUNGE) DO YOU THINK WATASEMA KUWA TUMESHINDA KWA SABABU TULIWAFUKUZA WASALITI? au tumeshindwa kwasababu wasaliti walituharibia chama........tuwe wawazi, kila chama kitavuna kutokana na matendo yake
 
Ushawishi kwa umma wa Mwanasiasa huyu ulikoma baada tu ya kuteuliwa kuingia kwenye ile kamati ya madini!! huko sijui kilimkuta nini huyu Mwanasiasa aliyekuwa machachari mno hasa kwenye lile sakata la Buzwagi lilolotingisha Bunge enzi zile hadi kupelekea kutolewa ndani ya Bungeni akitetea msimamo wake.

Haya hiyvo mbona anapingana na kauli yake kuwa " Nitakuwa wa mwisho kuondoka......"

My take: Kupambana na HAKI kunahitaji nguvu ya ziada vinginevyo unaweza kuumbuka mchana kweupe!!
 
Kikao cha Tansoma na Mr Utamwa kimeza matunda,

Asipewe sifa mfungua kesi ila sifa ni kwa Utamwa na Zoka, ilikuwa ni hatar kwa kijana kwani kesi ingekwenda hadi 2017,

Lisu ni hatari kwa siasa za wahalifu,
 
Pasco,kiuandishi hapo umeshamtaja. Afadhali aende zake.Wenzake hawamtaki na yeye anang'ang'ania tu akipoteza muda wake

wenzake wanamuogopa wanamtenga kwa sababu ya

elimu yake

dini yake

kabila lake

ukanda anakotoka

ushawishi wake kwa jamii

marafiki zake
 
Last edited by a moderator:
Umeshamtaja tayali kwa sifa ulizompa tu anajulikana, ni sawa na mtu akwambie, nimeamua kumwamini yeye na kumfuata kwakuwa aliteswa kwa ajili yangu akafa msalabani kwa dhambi zangu yupo kuume kwa Baba atakuja tena kunyakua walio hai na wafu, naomba nisimtaje. Hapo tayari ushamtaja Yesu kristo.
Mi namshauri aachane na siansa maana kavuruga mwenyewe cc Pasco
 
Pasco unazunguuka. Umejaza ukurasa nzima wwakati tetesi uliyoweka ingetosha mstari mmoja tu. Hakuna haja ya kufichaficha majina au kutumia methali, ndiyo sote tunajua kuwa ACT imeanzishwa na Zitto Kabwe na yeye ataenda huko kuwa mwenyekiti wa chama hiki. Ni jambo jema kwa demokrasia ya nchi. ACT ya Zitto itakuwa tishio kubwa kwa Chadema.
 
Kwai aliyofungua imeshakufa technically baada ya uchaguzi wa ndani ya Chadema na ile nafasi yake a kapewa mtu mwingine , sasa kesi hiyo kwa vyovyote nikitaja itafutwa maana haina locus standai ..........so kusema anafuatilia kesi ni kujaribu kuliokoa na aibu ya kufutwa kwa kesi hiyo...........watu wapo Bize na mambo mengine anaona anasahaulika sasa anatafuta ni toke vipi ...............
 
Pasco unazunguuka. Umejaza ukurasa nzima wwakati tetesi uliyoweka ingetosha mstari mmoja tu. Hakuna haja ya kufichaficha majina au kutumia methali, ndiyo sote tunajua kuwa ACT imeanzishwa na Zitto Kabwe na yeye ataenda huko kuwa mwenyekiti wa chama hiki. Ni jambo jema kwa demokrasia ya nchi. ACT ya Zitto itakuwa tishio kubwa kwa Chadema.

Yaani chama cha upinzani kinaanzishwa ili kiwe tishio kwa chama kingine cha upinzani??? Only in tz aseee...kama hilo litafanyika then claims za kuwa ni mtu wa chama tawala zitakuwa kweli.
Sidhani kama anaweza Fanya utoto huo..
 
habari yenyewe hii katika gazeti
zito.jpg
 
Kupambana nampago wa Mungu ningumu sana
We vp! Mpango wa mungu ni upi na Mungu yupi wa mpango huo? Je wasio muamini Mungu huyo hawahusiki na Chama hicho?

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Back
Top Bottom