Yaani chama cha upinzani kinaanzishwa ili kiwe tishio kwa chama kingine cha upinzani??? Only in tz aseee...kama hilo litafanyika then claims za kuwa ni mtu wa chama tawala zitakuwa kweli.
Sidhani kama anaweza Fanya utoto huo..
CHADEMA sasa ndiyo chama kikuu cha upinzani, kisipojipanga vizuri kinaweza kupoteza wanachama na baadhi ya viongozi wakahamia ACT ya Zitto Kabwe na kwenye uchaguzi wa 2015 ACT kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani nchini na CHADEMA ikadhoofika. Hilo ndiyo tishiio liliopo. Zitto Kabwe is a one-man army. Vyama vya upinzani TZ bado vichanga vinaendeshwa na personality popularity tofauti na CCM ambayo ni taasisi hata ikiweka jiwe 2015 ndiye anakuwa Rais wa nchi. Inauma lakini ndio ukweli wa siasa za nchi yetu kwa sasa, ndiyo maana mafisadi kama EL wako tayari kutumia mabilioni kuusaka urais through CCM wanajua wakija upinzani hawawezi kushinda.