makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
aliye mjibu hivyo ni mtu asiyefikiria na hapendi kufikiria...maana hayo ni majibu ya kwenye siasa za maji taka na siyo majibu ya mwenye kutumia ubongo au ni wassira nini? au nchimbi kama ni kiongozi bac kipimo cha IQ kinatakiwa vinginevyo nchi itakuwa masikini kwa miaka yote mpaka watu kama hao wasipate fursa ya kushiriki katika panel ya washauri wa mstakabali wa maendeleo ya nchi
Hivi watu wanafikiri Emmanuel Nchimbi,Dr.Fake ni mtu makini??? Basi kwa taarifa tu Emmanuel Nchimbi ni mmoja wa Mawaziri walio DHAIFU sana kwenye Baraza la Kiwete. Huyu anabebwabebwa tu kwa vile tangu zamani alikuwa kada wa UVCCM na hatimaye kaibukia kwenye Uwaziri. Wewe msikilize tu hata anapoongea utajua ni mtu mbambaishaji asiye mbele wala nyuma.
Zitto was very right kuhoji hilo swali kwa vile tunajua kuwa katika mambo ya MUUNGANO TUNAYOSHIRIKIANA YAMO LA ULINZI NA FEDHA. Kwa hiyo Mhe Zitto alitaka kujua kwanini kama tunashirikiana KIULINZI kwanini hata mara moja Mkuu wa Majeshi akatoka Zenji? Kuna kosa gani hapo.
Kwa akili finyu za Nchimbi badala ya KUJIBU SWALI AKAANZA KAMPENI ZA KIJINGA ZA WANA MAGAMBA! Hivi spika leo alikuwa nani kumruhusu mpuuzi huyu kuanza kampeni za ukanda??? Kwanini wabunge wa kambi ya upinzani hawakuomba mwongozo wa spika kuhusu majibu rejareja na Waziri kihiyo kama Nchimbi???