Kweli tunakoelekea siyo, kingozi anapo acha kujibu hoja za maana anaanza mambo ya chadema ya ukanda,Zito kauliza katika muungano wa Zanziba na TZ sijawahi kusikia mkuu wa majeshi ametoka Zanzibar,kambiwa tunajiandaa lakini hata mimi sijawahi kusikia Mwenyekiti wa Chadema ametokea Kigoma.CDM kazi mnayo.