Zitto vs Waziri wa ulinzi bungeni leo

Zitto vs Waziri wa ulinzi bungeni leo

zitto *****! Afu utamsikia anabana pua "nina masters"
Nia na lengo la swali nadhani ilikuwa ni kupima IQ ya waziri. lakini pia nadhani swali lililenga kumjua kama atakuwa na mawazo sawa na wazanzibari wengine wanaodai kwamba wanaonewa na serikali ya muungano kwa kutoa fursa nono ikiwemo vyeo kwa wabara alhali wazenj hawapewi kipaumbele katika fursa hizo nyeti. Kimsingi waziri alikuwa ameanza vizuri ktk kujenga hoja na kujibu swali ila kuunganisha hoja ya swali lake kwa kusema mbona M/kiti CHADEMA hajawahi kutoka kigoma ni Silly thinking. Alipaswa ajibu kwa mujibu wa utamaduni wa kijeshi,maadili ya kijeshi,taaluma ya kijeshi n.k ukizingatia kwamba jeshi huwa halisajili /haliajiri kwa misingi ya kikabila, ukanda,udini wala kwa nguvu ya kulazimisha watu wajiunge(unless kuwe na sababu ya msingi hususani ya kuwalazimisha watu). Kwa hiyo swali la zitto halikuwa baya kwani ilikuwa ni aptitude test ndani ya bunge. na waziri angejikoroga tu akasema ``kama waziri najaribu kulishughulikia ili kuleta uwiano ................."kama walivyozoea kukurupuka na kujibu nagekuwa amejipalia mwenyewe mkaa ndani ya bunge,jeshini na umma kwa ujumla. Awe makini na baadhi ya maswali kwani yanaweza kumporomosha au kumpandisha.
 
Zito anavozidi kukua busara zinapungua,huyu sio Zito wa 2005
 
hilo halikuwa swali la maana kwa mtu mwenye uelewa mkubwa kama Zito, swali kama hilo,laweza kushusha hadhi yake na heshima yake kwa watu makini, nafikiri baada ya kikao atakutana na washauri wake ili wamshauri jinsi anavyoweza kupoteza umaarufu kwa kuuliza maswali yasiyo na tija kwa taifa
 
Swali la kipuuzi sana sikutegemea Zitto anaweza kuuliza ujinga kiasi hiki.Hatugawicheo kwa kuangalia mtu katokea wapi bali uwezo wa mtu.

Hayo maneno nenda kawaambie walevi wenzio! Kama hamgawi vyeo kwa kuangalia watu wale MaDC wa sampuli ya MANENO wa Chalinze wana uwezo gani kuliko wadanganyika wengine?
 
Wote wamechemka tu! Kwa nini Zitto aulize swali kama hilo wakati anajua kabisa Katiba imemsema mtu mmoja tu Yaani Rais akitoka Zanzibar na Makam atatoka bara! hivyo vyeo vingine ni kuangalia tu who is who...
 
Wala Humuhitaji Zitto kuelewa maana ya hilo swali.

Jeshi la Ulinzi na usalama wa Raia viko chini ya wizara ambazo ni za Muungano kwa maana hiyo ni taasisi za Muungano. wakuu wa majeshi haya kwanini wanateuliwa kutoka upande mmoja tu wa Muungano? hilo ndio maana ya swali. Sasa waziri anapochombeza kuwa Mbona mwenyekiti wa Chadema hajawahi kutoka Kigoma mahusiano hapo yako wapi kati ya swali na jibu?
Umefikiria nje ya box....
 
Hii sasa kali.Nadhani ZZK hakukurupuka kuuliza.Ila waziri angetakiwa kuweka siasa pembeni ili kanuni zijibu swali hili.
 
Waziri nchimbi amekosa kuifananisha znz na kigoma
sending from my samsung GT-B7722 USING JAMIIFORUMS
 
Wote wamechemka tu! Kwa nini Zitto aulize swali kama hilo wakati anajua kabisa Katiba imemsema mtu mmoja tu Yaani Rais akitoka Zanzibar na Makam atatoka bara! hivyo vyeo vingine ni kuangalia tu who is who...
Mkuu upo....
 
Waziri sijaelewa jibu lake kwani kutawa Nchi ni tofauti na Siasa.
 
IQ ya Nchimbi ni ndogo sana. Nadhani uamsho watamjibu. Ngoja niwa inbox kwenye facebook page yao
 
General david msuguri.
General mwita marwa.
General mwita kiaro.
General mwita gachuma.
General mwita david mwamunyange.
Na gener abdala twalipo.
Emanuel sarakiky.
Duh...
ZITO NA MASUALI YA UCHOKONOZI
 
Wala Humuhitaji Zitto kuelewa maana ya hilo swali.

Jeshi la Ulinzi na usalama wa Raia viko chini ya wizara ambazo ni za Muungano kwa maana hiyo ni taasisi za Muungano. wakuu wa majeshi haya kwanini wanateuliwa kutoka upande mmoja tu wa Muungano? hilo ndio maana ya swali. Sasa waziri anapochombeza kuwa Mbona mwenyekiti wa Chadema hajawahi kutoka Kigoma mahusiano hapo yako wapi kati ya swali na jibu?

Ahsante GT
 
Swali la kipuuzi sana sikutegemea Zitto anaweza kuuliza ujinga kiasi hiki.Hatugawicheo kwa kuangalia mtu katokea wapi bali uwezo wa mtu.

swali limeulizwa baada ya mjadala wa muda mrefu uliokuwa ukiendelea ukiwemo ule wa kupeleka vijana JKT kwa kuzingatia hasa mkoa wanakozaliwa kwa idadi sawa ili kulifanya Jeshi la Tanzania kuwa la watu wote kwa maana ya kila kabila kujumuishwa: majadiliano hayo yalikuwa yana ashiria kuwa kila kitu kinachofanyika kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania basi kila upande utakuwa na muwakilishi.
 
Who is who kivipi bwana? embe fikiria wewe acha ropoka wewe, balanceing ni moja ya ethics za leadership man.! Especially when it comes kwa nchi kama hii ilio ja ukiritimba na uozo wenye hila ndani yake so ilo swali la zito ni sawa kabisa tena wanatakiwa wliweke into concideration on wat wil be the effects of the questions in the near future.!
 
Zitto maswal yako yana connection na kuhamasisha hasira za wana uamsho kwani nakumbukaa toka kipindi cha vuguvugu la uamsho uliposema wazenji wapewe gas na mafuta yao na ww hapo uliongezea petrol kwenye moto, sasa na swali ndo umemaliza kabisa.
 
Zitto kasema pia Kigoma haijawahi kuwa Tanganyika miaka ya nyuma 1918 na 19 ?
 
Back
Top Bottom