Zitto vs Waziri wa ulinzi bungeni leo

Wote zito na Nahoza wameonyesha udbhaifu wao. Lakini Nahoza kachemsha zaidi. Anaonyesha kuwa kiongozi dhaifui Zaidi. Hakukuwa na sababui ya jibu alilotoa. Je tuamini kwamba zanzibar ni mkoa kama Kigoma? Hakuna lolote kuhusu chadedma katika hili. Umedhihilisha uoga. Wako kwa chadema. Umejuaje hizo gharama kwa chadema?
 
Limeigarimu kivip? Na umaarufu gani zito anautafta ambao ww unausema?

Mkuu kama ungefanikiwa kumwona wakati akiuliza swali hilo, ungeweza kusoma mawazo yake aliyokuwa kichwani mwake kwa wakati huo jinsi alivyokuwa akiwaza magazeti ya kesho ambavyo yange-make headlines, , Zito amgalagaza waziri, ,Waziri aomba muda kujibu swali la zito, ,Waziri abanwa na zito,, Zito ataka mkuu wa majeshi sasa atoke Zanzibar, ,nk.
 
Limeigarimu kivip? Na umaarufu gani zito anautafta ambao ww unausema?

Mkuu kama ungefanikiwa kumwona wakati akiuliza swali hilo, ungeweza kusoma mawazo yake aliyokuwa kichwani mwake kwa wakati huo jinsi alivyokuwa akiwaza magazeti ya kesho ambavyo yange-make headlines, , Zito amgalagaza waziri, ,Waziri aomba muda kujibu swali la zito, ,Waziri abanwa na zito,, Zito ataka mkuu wa majeshi sasa atoke Zanzibar, ,nk.
 
kwa hiyo hiyo mnataka kusema kusema tangu tanganyika na zanzibar ziungane hakuna mzanzibar mwenye cfa ya kuwa mkuu wa majeshi?znz ni nchi hawezi kufananisha na mkoa.
 
Zitto's regular ill-natured rhetorics show that he is nothing but a prototypical religious bigot and a complete untrustworthy politician. As a matter of fact, the MP's ungovernable pretension to presidency proves to be so immoderately high that he thinks he can harness each available opportunity for fulfilling his self-interest purposes. Clearly, if he's not sufficiently cautious, his apparently extreme desire for the presidency will only serve to throw himself out of the political map well earlier than he has even achieved a whiff of it.
 
Zitto's regular ill-natured rhetorics show that he is nothing but a prototypical religious bigot and a complete untrustworthy politician. As a matter of fact, the MP's ungovernable pretension to presidency proves to be so immoderately high that he thinks he can harness each available opportunity for fulfilling his self-interest purposes. Clearly, if he's not sufficiently cautious, his apparently extreme desire for the presidency will only serve to throw himself out of the political map well earlier than he has even achieved a whiff of it.
legalese
 
Jamani naomba tuwe makini waziri wa ulinzi sio Emanuel Nchimbi ni Shamsi vuai Naodha . Nchimbi ni waziri wa mambo ya ndani.
 
Suala lililokosa busara wakati huu ambapo kumekuwa na sintofahamu za wazi kwenye masuala ya Muungano.
 
Hivi watu wanafikiri Emmanuel Nchimbi,Dr.Fake ni mtu makini??? Basi kwa taarifa tu Emmanuel Nchimbi ni mmoja wa Mawaziri walio DHAIFU sana kwenye Baraza la Kiwete. Huyu anabebwabebwa tu kwa vile tangu zamani alikuwa kada wa UVCCM na hatimaye kaibukia kwenye Uwaziri. Wewe msikilize tu hata anapoongea utajua ni mtu mbambaishaji asiye mbele wala nyuma.

Zitto was very right kuhoji hilo swali kwa vile tunajua kuwa katika mambo ya MUUNGANO TUNAYOSHIRIKIANA YAMO LA ULINZI NA FEDHA

Naomba ufute kauli maana si Dr. Nchimbi aliyejibu hilo swali. Aliyejibu ni waziri SHAMSI VUAI NAHODHA.
 
ule mtego jombaa,mbona una kuwa gamba tena?
nakubali kabisa kuwa ni mtego maana suala la muungano ni la katiba na suala la Uenyekiti wa chama fulani ni wa chama husika, sasa bungeni masuala ya uchaguzi wa vyama si mahala pake lakini katiba ni mahala pake
 
Swali la kipuuzi sana sikutegemea Zitto anaweza kuuliza ujinga kiasi hiki.Hatugawicheo kwa kuangalia mtu katokea wapi bali uwezo wa mtu.
Kwa hiyo Zanzibar hakuna mwenye uwezo wa kuwa waziri wa ulinzi!!! Hiyo ndio hasara ya kulewa gongo asubuhi bwana Gongo.
 
Back
Top Bottom