Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 140
- Thread starter
-
- #81
He's always fair.....
Sio shabiki ndiyo maana utaona baadae watu wataanza kumshambulia ati mbona jana ulikuwa una-oppose mbona leo una-support.Watu wanashindwa kuelewa tofauti kati ya Analysis by intellectual reasoning na political fanatiscism cum personal vendatta.Sio kila mtu JF ni shabiki
Nimefuatilia mjadala uliokuwa ukiendelea hapa JF uliokuwa ukijadili kuhusu Zitto,JK VS gazeti la tanzania daima na mmiliki wa gazeti hilo amabye ni Mbowe. Kuna mengi yamesemwa lakini lililoniku na hili la huyu Naibu Katibu Mkuu wa CDM Zitto Kabwe.Katika kujitetea na kuhamishia lawama kwa wenzake kiongozi huyu ninayemuamini miaka yote tangu nimemfahamu amewadhalilisha na kuwadharau wanachama wapya wa CDM.Naomba ninukuhuu maneno yake hapa chini wakati akimjibu mchangiaji mmoja kwenye ile thread.
[Ha ha ha ha ha ha. Kwi kwi kwi! Unanifanya nicheke kijuha juha na maneno yako.Chadema ni chama cha kidemokrasia na kitabaki hivyo. Sisi tulio ndani ya chama hiki toka kianze ndio tunajua utamaduni wa chadema. Wewe kwa kuwa ni wa kuja na ukazawadiwa ba Ubunge lazima useme hayo unayosema.Napenda nirudie kusema sina umri wa kugombea Urais kwa sasa. Nitamwunga mkono mgombea Urais wa CHADEMA atakayepitishwa ba vikao vya chama wakati utakapofika. Kwa sasa hakuna mgombea Urais CHADEMA na mie wala sioti kuwa mgombea. Kama uropokaji huu unatokana na Urais, mie simo. Kwamba sitaweza kuwa kama ningekuwa nina vigezo, unajidanganya tu na unajua unajidanganya. Chadema ni wanachama. Bring a free and fair election uone! ]
maneno haya ni ya dhihaka kubwa na hayakupaswa kuongelewa na kiongozi kama yeye tegemeo la taifa kwasababu zifuatazo
1. Zitto unaposema kuwa yeye ni mwananchama wa siku nyingi na wenzake ni wakuja ni dharau kubwa kwa wanachama wapya.Anamaanisha kuwa wanachama wazamani ndio wanajua zaidi utamaduni wa chama kuliko wapya na hawastahili kuhoji ukiukwaji wa tamaduni hizo zinapofanywa na wanachama wa zamani.Zitto unapaswa kuwaomba radhi wanachama hawa wapya.
2. Zitto unaposema kwa huyo aliyekujibu kuwa ni wakuja na amezawadiwa Ubunge ndio maana akaksema livyosema unamaanisha kuwa Wabunge wa CDM wamezawadiwa viti maalum-kauli hii ikitoka kwa kiongozi kama wewe maana yake ni kuwa vitimaalum CDM ni zawadi na hivyo waliopata wamepewa zawadi.Unatumaanisha nini sisi tuliogombea nahatukabahtaika kupata nafasi hizo?kuwa kumbe wenzetu walipewa zawadi?nilikuwa mgombea kwenye mchakato ule na baadaye tulitangaziwa vigezo kuwekwa ili watu wapite kwa vigezo ili kuepusha rushwa iliyotaka kufanyika aabayo iliasisiwa na wewe ndani ya chama,ulitumia pesa nyingi sana ili watu wako washinde. Zitto acha kupotosha umma,usikiharibu chama chako unapaswa kukijenga.Maneno kama hayo hayapawsi kusemwa na mtu kama wewe,ulishiriki kwenye mchakato wa kuwapata,unajua vigezo,mama yako alikuwepo kwenye kamati,rafiki yako Dk Kitilla alikuwa Mwenyekiti wa Kamati.Tueleze hawa wabunge walizawadiwaje?je ni mama yako,ni wewe,ni Kitilla,ni Dk Slaa,ni Mbowe tuambieni na sisi ambao hatkupata ili mwaka 2015 tujipange vizuri.
Zitto unapaswa kuomba radhi wabunge hawa waliopita kihalali kwa vigezo.
Nawasilisha.
Ukipiga hesabu ya wabunge wanaoteuliwa na wengine kupita kupingwa utashangaa aian ya democracy tuliyo nayo.Ndiyo maana kuna post moja nilikuwa nimetoa suggestion kwamba kama tukiwa na federal system basi Bicameral parliament haitaepukika na pengine hapo tunaweza kuunda structure nzuri ya uwakilishi na ya demokrasia ya kweli kama INDIA,US,Switzerland etc.
Najaribu kutafakari aina hii ya Demokrasia ambayo Executive kama mhimili wa Dola unapata mwanya mkubwa wa kuingilia bunge kwa teuzi holela tu za wabunge,unategemea nini kutoka kwenye mhimili wa mmoja kuuwajibisha mwingine na kuusimamia?Kwa hiyo sisi kama Taifa huu mjadla unaweza kuwa mpana zaidi
Hilo fungu la wabunge wengi wa viti maalumu ambao hata kazi yao haipo consistent na dhumuni la kuwa na bunge au dhana nzima ya parliamentary system ni bora lingetumika vizuri kwa kupanua wigo wa uwakilishi kwa kuunda Rotating pyrammid like structure of representative kwa kusogeza uwakilishi zaidi kwa councillors/madiwani ili tuwe na Demokrasia ya pekee,vinginevyo tutaishia kuwa na udikteta wa mhimili(pillar dictatorship or totalitarian).Wale disadvateged group wataweza kuwakilishwa vizuri zaidi na kujenga uwakilishi uliokusudiwa kwa haki ya walipa kodi na katika utekelezaji wa dhamira ya kweli ya uhuru wa mawazo na uwakilishi uliotukuka kwa wananchi wake. nPengine tungeweza kuwa mfano wa kuandiaka theory mpya ya uwakilishi
Na wewe je una analyse kwa kutumia model gani?ya usalama wa taifa maana nimesikia kuwa wewe ni usalama wa taifa na ninvyokuona behaviour zako siku chache kabala ya uchaguzi bavicha na baada ninaamini kabisa. Kabla ulikuwa unampiga vita Zitto leo hata akosee vipi unamtetea kweli kweli.Kama kweli mnampenda mnapaswa kumshauri vizuri sio kumsifusifu hata pasipostahili.Acha unafiki ili mumsaidie mwenzenu vinginevyo mtamharibu.Zitto hana washauri wazuri waliomzunguka mnapambana mno.
Mwenye majina ya wabunge wote wa viti maalum kupitia chadema/picha zao,namuomba ayaweke hapa
si muungi mkono bwana zitto kabwe ila ukweli ni kwamba viti maalum ni mzigo mkubwa
Labda hujanisoma vizuri. Nimesema wa kuja halina ubishi kwani hata yeye Zitto anaweza kuitwa wakuja na wenyeji wake ktk mazungumzo yanayohusu ujio wake..Hiki ni kiswahili tunachokitumia siku zote na wala sii tusi unless wewe mwenyewe ndio unajihisi Ugeni ni tusi.
Swala ni mtu uliyechini yako na mgeni anaanza kutoa maneno ambayo kiaina yanakosa adabu na zaidi ya hapo mtu huyo hajui undani wakile anachokizungumza zaidi ya kushabikia. Mzee Pius Msekwa anaweza kabisa kuwaita wabunge wa CCM wa kuja kama hao wabunge watamkosea adabu na wataanza kumzungumzia yeye na sii kazi walokabidhiwa. Tena basi huyo mzee wetu pius Msekwa anaweza kutukana matusi ya nguoni acha hii habari ya kuitwa watu wa kuja. Kawaita upinzani wanafiki atashindwa kumwita mtu wa kuja?
Huyu mbunge alozungumza simjui ila Zitto anamfahamu vizuri na kuja kwake hapa JF akipinga matumizi ya lugha ya Zitto kwa kiongozi wake ktk FB hali yeye mwenyewe anarudia uozo ule ule hapa JF, inabidi apigwe kibao cha kerbu na ndio hayo majibu ya Zitto. Kifupi kule tulikotoka Zitto mwenyewe kakubali makosa ktk kusherehesha malalamiko yake, hata huyu mbunge wetu inabidi ajifunze kutumia lugha nzuri unapowakilisha hoja. Kama kuna malalamiko yoyote zipo njia mbadala za kufikisha malalamiko hayo na sii kuvuana nguo hapa JF kama vile Zitto ni baradhuli asiyejiweza..
first ladyNimefuatilia mjadala uliokuwa ukiendelea hapa JF uliokuwa ukijadili kuhusu Zitto,JK VS gazeti la tanzania daima na mmiliki wa gazeti hilo amabye ni Mbowe. Kuna mengi yamesemwa lakini lililoniku na hili la huyu Naibu Katibu Mkuu wa CDM Zitto Kabwe.Katika kujitetea na kuhamishia lawama kwa wenzake kiongozi huyu ninayemuamini miaka yote tangu nimemfahamu amewadhalilisha na kuwadharau wanachama wapya wa CDM.Naomba ninukuhuu maneno yake hapa chini wakati akimjibu mchangiaji mmoja kwenye ile thread.
[Ha ha ha ha ha ha. Kwi kwi kwi! Unanifanya nicheke kijuha juha na maneno yako.Chadema ni chama cha kidemokrasia na kitabaki hivyo. Sisi tulio ndani ya chama hiki toka kianze ndio tunajua utamaduni wa chadema. Wewe kwa kuwa ni wa kuja na ukazawadiwa ba Ubunge lazima useme hayo unayosema.Napenda nirudie kusema sina umri wa kugombea Urais kwa sasa. Nitamwunga mkono mgombea Urais wa CHADEMA atakayepitishwa ba vikao vya chama wakati utakapofika. Kwa sasa hakuna mgombea Urais CHADEMA na mie wala sioti kuwa mgombea. Kama uropokaji huu unatokana na Urais, mie simo. Kwamba sitaweza kuwa kama ningekuwa nina vigezo, unajidanganya tu na unajua unajidanganya. Chadema ni wanachama. Bring a free and fair election uone! ]
maneno haya ni ya dhihaka kubwa na hayakupaswa kuongelewa na kiongozi kama yeye tegemeo la taifa kwasababu zifuatazo
1. Zitto unaposema kuwa yeye ni mwananchama wa siku nyingi na wenzake ni wakuja ni dharau kubwa kwa wanachama wapya.Anamaanisha kuwa wanachama wazamani ndio wanajua zaidi utamaduni wa chama kuliko wapya na hawastahili kuhoji ukiukwaji wa tamaduni hizo zinapofanywa na wanachama wa zamani.Zitto unapaswa kuwaomba radhi wanachama hawa wapya.
2. Zitto unaposema kwa huyo aliyekujibu kuwa ni wakuja na amezawadiwa Ubunge ndio maana akaksema livyosema unamaanisha kuwa Wabunge wa CDM wamezawadiwa viti maalum-kauli hii ikitoka kwa kiongozi kama wewe maana yake ni kuwa vitimaalum CDM ni zawadi na hivyo waliopata wamepewa zawadi.Unatumaanisha nini sisi tuliogombea nahatukabahtaika kupata nafasi hizo?kuwa kumbe wenzetu walipewa zawadi?nilikuwa mgombea kwenye mchakato ule na baadaye tulitangaziwa vigezo kuwekwa ili watu wapite kwa vigezo ili kuepusha rushwa iliyotaka kufanyika aabayo iliasisiwa na wewe ndani ya chama,ulitumia pesa nyingi sana ili watu wako washinde. Zitto acha kupotosha umma,usikiharibu chama chako unapaswa kukijenga.Maneno kama hayo hayapawsi kusemwa na mtu kama wewe,ulishiriki kwenye mchakato wa kuwapata,unajua vigezo,mama yako alikuwepo kwenye kamati,rafiki yako Dk Kitilla alikuwa Mwenyekiti wa Kamati.Tueleze hawa wabunge walizawadiwaje?je ni mama yako,ni wewe,ni Kitilla,ni Dk Slaa,ni Mbowe tuambieni na sisi ambao hatkupata ili mwaka 2015 tujipange vizuri.
Zitto unapaswa kuomba radhi wabunge hawa waliopita kihalali kwa vigezo.
Nawasilisha.
Mh inaelekea Chadema ndani yake kuna makundi kama ilivyo CCM. Chadema wasipo angalia wataanza kugeuka replica ya CCM kabla hata ya kushika madaraka. Ubaya wa wao kuwa kama CCM ina maanisha chama kitakua kimeenda kinyume kabisa na ujumbe wao wa kuwa chama mbadala na CCM watahakikisha wananchi wanajua na wananchi hawato sahau.
acha wivu wewe,vaa sketi nawewe ili uzawadiwe ubunge kama ubunge unazawadiwa.wacha vitimaalum viwepo ili nasisi tunaotaka kuingia tuupate.abarkiwe aliyeleta wazo la vitimaalum.mtapiga kelele habari ndio hiyo.hilo ni takwa la sadc.wivu tu..
umekumbwa na nini dogo???Na wewe je una analyse kwa kutumia model gani?ya usalama wa taifa maana nimesikia kuwa wewe ni usalama wa taifa na ninvyokuona behaviour zako siku chache kabala ya uchaguzi bavicha na baada ninaamini kabisa. Kabla ulikuwa unampiga vita Zitto leo hata akosee vipi unamtetea kweli kweli.Kama kweli mnampenda mnapaswa kumshauri vizuri sio kumsifusifu hata pasipostahili.Acha unafiki ili mumsaidie mwenzenu vinginevyo mtamharibu.Zitto hana washauri wazuri waliomzunguka mnapambana mno.
I agree, two wrongs dont make it right, but tuangalie pia kwanini Zitto ametoa comment hyo? Maneno ya Marytina yalistahili kusemwa? Hayakuwa 7bu ya zito kureact hivyo? Alimaanisha nini kusema Zitto hawezi kuwa Rais akiwa CDM, labda CCM au NCCR? Kwa mtazamo wangu alimaanisha Zitto despite mchango wake kuikuza CDM hawamuhitaji. Lets b fair to both of them kwa kuwaeleza wote walipokosea.
firstlady si mbunge wa viti maalum ila yupo connectedhaya ndiyo maneno ya mtu aliyeteuliwa kuwa mbunge wa hivyo viti maalum!!! Zawadi haichagui mpokezi...!
Hivi nyie wabunge wa viti maluum, tukimwacha Regia Mtema ambaye kwakweli pamoja na ulemavu amepigana kiume na asingechakachuliwa angeibuka kidedea...
Ni maslahi yapi nyie mnatetea ?..mbona mmekaa kimipasho ? Kwanini hoja haijibiwi na hoja ? Mimi naona u guys are hanging ur dirty linens hapa...
Hebu rudini kwenye chama mjipange upya kama mna tatizo na zito & co simply call him up and discuss it, maana mnavitetea viti maalum @ the expense of divulging dirty secrets!
Mkuu binasfi sidhani kama kuna mtu anaweza kuogopa kushindwa kujiunga ga CDM kwa kauli ya ziito kumuitwa mbunge wakuja. Kwangu threat kubwa kwa CDM sio makosa ya syntax ya mtu moja mmoja kuelezea kitu sahihi. bali threat ni tabia kama za huyu mleta mada. tena wengine ni wabunge. Tena wengine wanatumia screen name za kike. What if ni wanaume..... anyway niisiende huko nikajikuta nasema yale ya msekwa "tabia za kike" gaijin na wenzake wakanishambulia . teh teh teh
Ninaweza kupata hoja za msingi kwenye sentensi ya ziito japo z ina makosa ya lugha ya kukubalika lakini Hao wanaomlaumu hupati substance yeyote ya maana . ebu jaribu kungalia big picture ya CDM mkuu. Sometime mtu analeta mda inahusu zittto unajiuliza anajaribu kuachieve nini iwe ni kwa manufaa ya chama au nchi no maater lafudhi nzuri na sarufi atayotumia.
But kama CDM will be clean stable na hatutasikia mipshasho without ziito basi wamfukuze. kwenye footbal tunasema No single player is better than a team. tunachotaka watanzania ni mabadiliko.
Thanks i like politics but am not a politician
Na wewe je una analyse kwa kutumia model gani?ya usalama wa taifa maana nimesikia kuwa wewe ni usalama wa taifa na ninvyokuona behaviour zako siku chache kabala ya uchaguzi bavicha na baada ninaamini kabisa. Kabla ulikuwa unampiga vita Zitto leo hata akosee vipi unamtetea kweli kweli.Kama kweli mnampenda mnapaswa kumshauri vizuri sio kumsifusifu hata pasipostahili.Acha unafiki ili mumsaidie mwenzenu vinginevyo mtamharibu.Zitto hana washauri wazuri waliomzunguka mnapambana mno.
viti maalumu vinawapa shida sana.mwaka jana mlitaka kuchomeka watu wenu baadae akaja mwanamtandao wenu dr.kitila mkumbo akajaribu lakini bado maslahi yenu ya kimtandao mlizingatia.baadhi yenu mna mahawara huko,tumekaa kimya tu tunajua.Leo hii unakuja na hoja za kiujanja janja za kufuta viti maalumu.ule mjadala wa jana jinsi mlivyoingia timu nzima wewe,kitila,zitto na nyakarungu ni lazima uwagharimu tu.nendeni mkagombee nccr mbadili muundo huko.hii hoja ya kufuta viti maalumu achana nayo,hebu eleza msimamo wako kuhusu matamshi ya zitto dhidi ya viti maalum
At this critical time,Tanzanians hawako interesting kusikia hizi rhetoric hogwash!Please just spare themmwache aendelee na jeuri yake.sijui anajiamini nini.si pengine walikuja kuunganishwa na jack zoka
Hivi nyie wabunge wa viti maluum, tukimwacha Regia Mtema ambaye kwakweli pamoja na ulemavu amepigana kiume na asingechakachuliwa angeibuka kidedea...
Ni maslahi yapi nyie mnatetea ?..mbona mmekaa kimipasho ? Kwanini hoja haijibiwi na hoja ? Mimi naona u guys are hanging ur dirty linens hapa...
Hebu rudini kwenye chama mjipange upya kama mna tatizo na zito & co simply call him up and discuss it, maana mnavitetea viti maalum @ the expense of divulging dirty secrets!
nyakarungu/jikedume
unaatamani na wewe kama ungekuwa mwanamke vile ili upate ubunge wa vitimaalum uache kurandaranda.hivi kwenye uongozi wa bavicha hakuna vitimaalum ili uteuliwe na wewe?maana ulifanya kazi nzuri sana ya washa taa mchana.hivi mfadhili wako bado yupo?