Mkuu,
I have great respect for Hon. Zitto lakini kwa hili kuita wanachama wapya wa CDM wa kuja sitamuunga mkono. Never. Nakubali sawa ya moto ni moto na sometimes inabidi utumie force lakini kuna repercussion zake. Mh Zitto, wewe, Gainjin na mimi tunaweza kuwa level moja hapa JF, lakini Mh Zitto ni public figure. As a public figure one would expect some form of behaviors hasa pale anapokuwa kwenye public domain.
Kweli kama binadamu wengine Mh Zitto ana mapungufu yake lakini does this excuse him kuita wanachama wapya wa Chadema wa kuja? Kama anamjua si angeenda kumwambia tuu in private? Unakumbuka yaliyomkuta Gordon Brown baada ya kumwita mwanachama mwanamke wa chama chke a "bigot"? Tena alisema hili in private lakini huenda ndio iliyomcost kwenye uchaguzi. I am sure kama tungekuwa na tabloid media hapa Bongo, front pages zingekuwa na headings "Zitto amwita mwanachama wa Chadema wa kuja".
Imagine kama kulikuwa na mtu analiyetaka kujiunga na Chadema because of being impressed na Mh Zitto bungeni apitie hapa, amkute huyo huyo Zitto anaita wanachama wapya wa kuja. Atajiunga na Chadema kweli? Inawezekana kabisa kuwa alichokuwa anaonyesha Zitto ni matabaka ya wanachama ndani ya Chadema wakati chama kinatambuka kama chama cha wanachama.
Juzi juzi tuu hapa watu walikuwa wanamuunga mkono Mh Mbowe kwa kutokwenda mahakani japokuwa alikuwa amefanya kosa. Leo hii Mh Zitto ana brand wanachama wapya wa kuja na tunataka kuumunga mkono on the ground kuwa ana mapungufu yake, nk. Mkuu hapana. Hata siku moja wrong plus wrong haiwezi kuwa right na haitakuwa.
Labda hujanisoma vizuri. Nimesema wa kuja halina ubishi kwani hata yeye Zitto anaweza kuitwa wakuja na wenyeji wake ktk mazungumzo yanayohusu ujio wake..Hiki ni kiswahili tunachokitumia siku zote na wala sii tusi unless wewe mwenyewe ndio unajihisi Ugeni ni tusi.Kwa hiyo mtu akijiunga na CDM kwa mara ya kwanza ni sawa kumwita wa kuja? Unaona ni sawa kwa Naibu Katibu wa Chama Kukuu cha upinzani kuwaita wanachama wake wapya ni wa kuja? Ingekuwaje hapa kama Pius Msekwa amewaita wanachama wapya wa CCM wa kuja. I am sure hii thread ingekuwa na pages 30 by now. Nilidhani Chadema ni wanachama bila kubaguana. Kumbe chama kilikuwa kina recruit wanachama wa kuja huko mikoani. Kwa hiyo wanachama wa siku nyingi wanakuwa treated tofauti na wanachama wa kuja? Huku sio kubaguana na kujenga matabaka ya wanachama? Wanachama wa zamani na wale wa kuja? Kwa vile umesema Mh Zitto hajamung'unya maneno, ina mana aliyosema ni kweli sio. Siungi mkono kuwepo kwa wabunge sijui wa viti maalumu, lakini the way Mh Zitto alivyoiandika hili suala, well I will better keep my mouth shut.
CHADEMA is not a political party, it is rather a clique of lawbreakers organised by gangster leaders. Its ways and ideologies virtually resemble those of TALIBAN. The sole difference between the two is, while Taliban lives on drug trafficking and double dealing, CHADEMA's survival relies on VANDALISM.
Acha wivu wewe,vaa sketi nawewe ili uzawadiwe Ubunge kama ubunge unazawadiwa.Wacha Vitimaalum viwepo ili nasisi tunaotaka kuingia tuupate.Abarkiwe aliyeleta wazo la vitimaalum.Mtapiga kelele habari ndio hiyo.Hilo ni takwa la SADC.Wivu tu..
zitto ni pekee katikachadema
waliobaki ni wafitini na majungu na kwa mchezo wao wataiua chadema
the whole "viti maalum" circus ni mzigo kwa taifa, hawakutakiwa kuwepo.
Nimefuatilia mjadala uliokuwa ukiendelea hapa JF uliokuwa ukijadili kuhusu Zitto,JK VS gazeti la tanzania daima na mmiliki wa gazeti hilo amabye ni Mbowe. Kuna mengi yamesemwa lakini lililoniku na hili la huyu Naibu Katibu Mkuu wa CDM Zitto Kabwe.Katika kujitetea na kuhamishia lawama kwa wenzake kiongozi huyu ninayemuamini miaka yote tangu nimemfahamu amewadhalilisha na kuwadharau wanachama wapya wa CDM.Naomba ninukuhuu maneno yake hapa chini wakati akimjibu mchangiaji mmoja kwenye ile thread.
[Ha ha ha ha ha ha. Kwi kwi kwi! Unanifanya nicheke kijuha juha na maneno yako.Chadema ni chama cha kidemokrasia na kitabaki hivyo. Sisi tulio ndani ya chama hiki toka kianze ndio tunajua utamaduni wa chadema. Wewe kwa kuwa ni wa kuja na ukazawadiwa ba Ubunge lazima useme hayo unayosema.Napenda nirudie kusema sina umri wa kugombea Urais kwa sasa. Nitamwunga mkono mgombea Urais wa CHADEMA atakayepitishwa ba vikao vya chama wakati utakapofika. Kwa sasa hakuna mgombea Urais CHADEMA na mie wala sioti kuwa mgombea. Kama uropokaji huu unatokana na Urais, mie simo. Kwamba sitaweza kuwa kama ningekuwa nina vigezo, unajidanganya tu na unajua unajidanganya. Chadema ni wanachama. Bring a free and fair election uone! ]
maneno haya ni ya dhihaka kubwa na hayakupaswa kuongelewa na kiongozi kama yeye tegemeo la taifa kwasababu zifuatazo
1. Zitto unaposema kuwa yeye ni mwananchama wa siku nyingi na wenzake ni wakuja ni dharau kubwa kwa wanachama wapya.Anamaanisha kuwa wanachama wazamani ndio wanajua zaidi utamaduni wa chama kuliko wapya na hawastahili kuhoji ukiukwaji wa tamaduni hizo zinapofanywa na wanachama wa zamani.Zitto unapaswa kuwaomba radhi wanachama hawa wapya.
2. Zitto unaposema kwa huyo aliyekujibu kuwa ni wakuja na amezawadiwa Ubunge ndio maana akaksema livyosema unamaanisha kuwa Wabunge wa CDM wamezawadiwa viti maalum-kauli hii ikitoka kwa kiongozi kama wewe maana yake ni kuwa vitimaalum CDM ni zawadi na hivyo waliopata wamepewa zawadi.Unatumaanisha nini sisi tuliogombea nahatukabahtaika kupata nafasi hizo?kuwa kumbe wenzetu walipewa zawadi?nilikuwa mgombea kwenye mchakato ule na baadaye tulitangaziwa vigezo kuwekwa ili watu wapite kwa vigezo ili kuepusha rushwa iliyotaka kufanyika aabayo iliasisiwa na wewe ndani ya chama,ulitumia pesa nyingi sana ili watu wako washinde. Zitto acha kupotosha umma,usikiharibu chama chako unapaswa kukijenga.Maneno kama hayo hayapawsi kusemwa na mtu kama wewe,ulishiriki kwenye mchakato wa kuwapata,unajua vigezo,mama yako alikuwepo kwenye kamati,rafiki yako Dk Kitilla alikuwa Mwenyekiti wa Kamati.Tueleze hawa wabunge walizawadiwaje?je ni mama yako,ni wewe,ni Kitilla,ni Dk Slaa,ni Mbowe tuambieni na sisi ambao hatkupata ili mwaka 2015 tujipange vizuri.
Zitto unapaswa kuomba radhi wabunge hawa waliopita kihalali kwa vigezo.
Nawasilisha.
Ukipiga hesabu ya wabunge wanaoteuliwa na wengine kupita kupingwa utashangaa aian ya democracy tuliyo nayo.Ndiyo maana kuna post moja nilikuwa nimetoa suggestion kwamba kama tukiwa na federal system basi Bicameral parliament haitaepukika na pengine hapo tunaweza kuunda structure nzuri ya uwakilishi na ya demokrasia ya kweli kama INDIA,US,Switzerland etc.
Najaribu kutafakari aina hii ya Demokrasia ambayo Executive kama mhimili wa Dola unapata mwanya mkubwa wa kuingilia bunge kwa teuzi holela tu za wabunge,unategemea nini kutoka kwenye mhimili wa mmoja kuuwajibisha mwingine na kuusimamia?Kwa hiyo sisi kama Taifa huu mjadla unaweza kuwa mpana zaidi
Hilo fungu la wabunge wengi wa viti maalumu ambao hata kazi yao haipo consistent na dhumuni la kuwa na bunge au dhana nzima ya parliamentary system ni bora lingetumika vizuri kwa kupanua wigo wa uwakilishi kwa kuunda Rotating pyrammid like structure of representative kwa kusogeza uwakilishi zaidi kwa councillors/madiwani ili tuwe na Demokrasia ya pekee,vinginevyo tutaishia kuwa na udikteta wa mhimili(pillar dictatorship or totalitarian).Wale disadvateged group wataweza kuwakilishwa vizuri zaidi na kujenga uwakilishi uliokusudiwa kwa haki ya walipa kodi na katika utekelezaji wa dhamira ya kweli ya uhuru wa mawazo na uwakilishi uliotukuka kwa wananchi wake. nPengine tungeweza kuwa mfano wa kuandiaka theory mpya ya uwakilishi
THANKS! For being fair .Labda hujanisoma vizuri. Nimesema wa kuja halina ubishi kwani hata yeye Zitto anaweza kuitwa wakuja na wenyeji wake ktk mazungumzo yanayohusu ujio wake..Hiki ni kiswahili tunachokitumia siku zote na wala sii tusi unless wewe mwenyewe ndio unajihisi Ugeni ni tusi.Swala ni mtu uliyechini yako na mgeni anaanza kutoa maneno ambayo kiaina yanakosa adabu na zaidi ya hapo mtu huyo hajui undani wakile anachokizungumza zaidi ya kushabikia. Mzee Pius Msekwa anaweza kabisa kuwaita wabunge wa CCM wa kuja kama hao wabunge watamkosea adabu na wataanza kumzungumzia yeye na sii kazi walokabidhiwa. Tena basi huyo mzee wetu pius Msekwa anaweza kutukana matusi ya nguoni acha hii habari ya kuitwa watu wa kuja. Kawaita upinzani wanafiki atashindwa kumwita mtu wa kuja?Huyu mbunge alozungumza simjui ila Zitto anamfahamu vizuri na kuja kwake hapa JF akipinga matumizi ya lugha ya Zitto kwa kiongozi wake ktk FB hali yeye mwenyewe anarudia uozo ule ule hapa JF, inabidi apigwe kibao cha kerbu na ndio hayo majibu ya Zitto. Kifupi kule tulikotoka Zitto mwenyewe kakubali makosa ktk kusherehesha malalamiko yake, hata huyu mbunge wetu inabidi ajifunze kutumia lugha nzuri unapowakilisha hoja. Kama kuna malalamiko yoyote zipo njia mbadala za kufikisha malalamiko hayo na sii kuvuana nguo hapa JF kama vile Zitto ni baradhuli asiyejiweza..
Utakapopeleka hoja ya kudhalilishwa viti maalum usisahau na hoja ya kiti maalum mmoja kutamka wazi Zitto kamwe hawezi kugombea urais CDM, ili tupate uhakika kama hoja hyo ilishajadiliwa tupewe na vigezo.Safi sana kwa hili hata mimi asubuhi nilitangaza azma ya kulipeleka hili kamati kuu kwa kudhalilisha wabunge wa viti maalumu kwenye mitandao.hii ni dharau iliyopitiliza.nilishasema hawa wanawachukia kwa sababu walitaka kuchomeka watu wao.kinachoshangaza zaidi kuna tetesi kuwa wana mahawara zao huko huko.Mwone huyu hapa chini nae amejaribu sana kujiweka mbali na hii kashfa lakini amejenga hoja zenye muelekeo wa kufuta viti maalumu.Dharau zao ziko waziwazi.Hebu watuache wasituharbie chama mbelekeni mawazo yenu huko nccr hakuna anayewazuia bwana
Labda hujanisoma vizuri. Nimesema wa kuja halina ubishi kwani hata yeye Zitto anaweza kuitwa wakuja na wenyeji wake ktk mazungumzo yanayohusu ujio wake..Hiki ni kiswahili tunachokitumia siku zote na wala sii tusi unless wewe mwenyewe ndio unajihisi Ugeni ni tusi.
Swala ni mtu uliyechini yako na mgeni anaanza kutoa maneno ambayo kiaina yanakosa adabu na zaidi ya hapo mtu huyo hajui undani wakile anachokizungumza zaidi ya kushabikia. Mzee Pius Msekwa anaweza kabisa kuwaita wabunge wa CCM wa kuja kama hao wabunge watamkosea adabu na wataanza kumzungumzia yeye na sii kazi walokabidhiwa. Tena basi huyo mzee wetu pius Msekwa anaweza kutukana matusi ya nguoni acha hii habari ya kuitwa watu wa kuja. Kawaita upinzani wanafiki atashindwa kumwita mtu wa kuja?
Huyu mbunge alozungumza simjui ila Zitto anamfahamu vizuri na kuja kwake hapa JF akipinga matumizi ya lugha ya Zitto kwa kiongozi wake ktk FB hali yeye mwenyewe anarudia uozo ule ule hapa JF, inabidi apigwe kibao cha kerbu na ndio hayo majibu ya Zitto. Kifupi kule tulikotoka Zitto mwenyewe kakubali makosa ktk kusherehesha malalamiko yake, hata huyu mbunge wetu inabidi ajifunze kutumia lugha nzuri unapowakilisha hoja. Kama kuna malalamiko yoyote zipo njia mbadala za kufikisha malalamiko hayo na sii kuvuana nguo hapa JF kama vile Zitto ni baradhuli asiyejiweza..
Hatutaki viti maalum/kuteuliwa....It's nonsense and undemocratic!!,let alone cost effectiveness of the whole dumb idea.Safi sana kwa hili hata mimi asubuhi nilitangaza azma ya kulipeleka hili kamati kuu kwa kudhalilisha wabunge wa viti maalumu kwenye mitandao.hii ni dharau iliyopitiliza.nilishasema hawa wanawachukia kwa sababu walitaka kuchomeka watu wao.kinachoshangaza zaidi kuna tetesi kuwa wana mahawara zao huko huko.Mwone huyu hapa chini nae amejaribu sana kujiweka mbali na hii kashfa lakini amejenga hoja zenye muelekeo wa kufuta viti maalumu.Dharau zao ziko waziwazi.Hebu watuache wasituharbie chama mbelekeni mawazo yenu huko nccr hakuna anayewazuia bwana
Hata mimi sioni ubaya wa maneno ya Zitto..
Watanzania tuna ustaarabu wetu wa lugha na matumizi yake. Majibu yalikuwa safi kabisa kwa mhusika kwani aloanza maneno haya sii Zitto. Nachopenda na kufurahia ni uwezo wa viongozi wa Chadema kuwa mbele ktk kujibu maswali na unapoleta uhuni unapewa dawa! Na nampenda Zitto kwaq kutomung'unya maneno. Ujasiri na kiburi chake kinahitajika sana na hakika tunamuhitaji mtu kama yeye ktk nafasi muhimu.
Mbunge wa viti maalum ni kuzawadiwa hilo halina ubishi tena kama umejiunga hivi karibuni ndio kabisa inatakiwa ukae kimyaa maanake hujui! na kutojua sii tusi bali ni usia mzuri kwa viongozi wageni wapate kujifunza kuheshimu viongozi wao. Zitto ni naibu katibu wa chama, na lugha inayotumiwa na baadhi ya vijana wa Chadema hapa JF nadhani inavuka mpaka wa heshima wakati wao wamemkabidhi mamlaka hayo..
THANKS! For being fair .
good!!!!!thanks.
I agree, two wrongs dont make it right, but tuangalie pia kwanini Zitto ametoa comment hyo? Maneno ya Marytina yalistahili kusemwa? Hayakuwa 7bu ya zito kureact hivyo? Alimaanisha nini kusema Zitto hawezi kuwa Rais akiwa CDM, labda CCM au NCCR? Kwa mtazamo wangu alimaanisha Zitto despite mchango wake kuikuza CDM hawamuhitaji. Lets b fair to both of them kwa kuwaeleza wote walipokosea.
si condone maneno ya kiburi aliyoyatoa zitto na wala sikubaliani na mkandara kupongeza kiburi cha viongozi.
Lakini ukweli unasimama kuwa viti maalum ni zawadi za chama kwa wapenzi wao. Na kama ni mfuatiliaji mzuri suala la vigezo lilikwisha jadiliwa hapa sana. Kuwa model iliyotumiwa na kitila, kulikuwa na uwezekano wa kutizama wanaotakiwa "kuzawadiwa" kwanza, kisha akaweka vigezo, ili kuhakikisha hao wanaotakiwa kuzawadiwa wanafanikiwa kwenye hilo. Kwa hiyo uliposhindwa vigezo inaweza kumaanisha kuwa hukuwa na vigezo stahili kuzawadiwa.
Lakini firstlady unanishangaza kumpinga zitto kwa kuhujumu chama lakini wewe kufanya kile kile. Hapo kwenye maelezo ya zitto alitoa rushwa unadhani upo katika kukijenga chama? Kuwa zitto alitoa rushwa ili watu wake wapite na ikajuulikana wazi mpaka mfumo kubadilishwa lakini bado anaendelea kuwa nafasi ya juu kwenye chama, hii inakipa chama credibility ya aina gani?