Nimeona alsoNimeona fatma karume anamlaumu mbowe kutaja wazanzibar. Yaani wazanzibar hawaruhusiwi kusemwa chochote
Upuuzi huu
Nimeona alsoNimeona fatma karume anamlaumu mbowe kutaja wazanzibar. Yaani wazanzibar hawaruhusiwi kusemwa chochote
Upuuzi huu
Mbona wakati wa Mwendazake alikuwa na kiherehere kwa kila jambo kwani alikuwa Mbunge? Tunajua kinachomsumbua Zitto ni mdini sana na huwezi kumsikia akitoa ukosoaji kwa Serikali ya Bi HangayaZitto sio mbunge,kwenye hili mnamlaumu bure
Sawa lakini hoja zake hazina mashiko,maana Hana kura yoyote bungeni,anaongea kama Mimi na ww tuMbona wakati wa Mwendazake alikuwa na kiherehere kwa kila jambo kwani alikuwa Mbunge? Tunajua kinachomsumbua Zitto ni mdini sana na huwezi kumsikia akitoa ukosoaji kwa Serikali ya Bi Hangaya
Duh! Nilikuwa sijui kuwa like AZIMIO, sio mkataba bado, limetengenezwa na Waislamu kwa ajili ya maslahi ya Waislamu. Asante kwa kutufungua macho.Katika watu wa hovyo wakubwa tanzania ni Zitto. mdini sana As long as samia na Mbarawa ni wa dini yake hata kusema lolote hataki.
Hivyo hivyo Fatma karume. Hovyo kabisa kabisa. Abdul Nondo
Waeleze JF kwanini Zito yuko kimya kiasi hicho? Msaliti mkubwa
Wewe uyo usimuamini kabisa angaisha kichwa uyo labda uwenda na yupo si wakumwaminiKatika kitu ambacho nicha kushangaza zitto zuberi kabwe sakata la mkataba wa bandari na Dp world amekaa kimya u!ma inatakaiwa ijue tumawanasiasa wa aina gani ndani ya nchi
Mwanasiasa anayejali maslahi yake binafsi ni wakuogopa kama ukoma no hatari kwa taifa. ogopa mtu wa hivo katika taifa .
Muacheni ausome kwa umakini mkubwa, kabla ya kuchangia. Zitto si kama Lissu, Slaa na wanachadema kwa ujumla wanao kurupuka kujibu hoja kabla hawajazifahamu.Zitto Kabwe na chama chako ulikaa kimya kuhusu hoja ya bandari kwa madai kwamba unafurahia kuona hoja imepelekwa bungeni. Yamkini ungejielekeza kuchambua mapungufu unayodhani yapo ungewapa mwanga wabunge kuchangia ila uliamua kukaa kimya ukilisubiri bunge.
Azimio limeshapita bila mabadiliko wala maboresho yoyote kuwa wazi. Naomba kujua hiki ndicho ulikuwa unakisema au wabunge wamekuangusha? Kama wamekuangusha unadhani bado msimamo wa chama chako una faida kwa Taifa letu?
Zito kipenzi cha mama yupo kimya kama hayajawahi kuusikia mkatabaMuacheni ausome kwa umakini mkubwa, kabla ya kuchangia. Zitto si kama Lissu, Slaa na wanachadema kwa ujumla wanao kurupuka kujibu hoja kabla hawajazifahamu.