Zitto tusaidie umeelewa nini pale Bungeni? Hiki ndicho ulichotegemea?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
890
4,140
Zitto Kabwe na chama chako ulikaa kimya kuhusu hoja ya bandari kwa madai kwamba unafurahia kuona hoja imepelekwa bungeni. Yamkini ungejielekeza kuchambua mapungufu unayodhani yapo ungewapa mwanga wabunge kuchangia ila uliamua kukaa kimya ukilisubiri bunge.

Azimio limeshapita bila mabadiliko wala maboresho yoyote kuwa wazi. Naomba kujua hiki ndicho ulikuwa unakisema au wabunge wamekuangusha? Kama wamekuangusha unadhani bado msimamo wa chama chako una faida kwa Taifa letu?
 
Mhe. Zitto Kabwe na chama chako ulikaa kimya kuhusu hoja ya bandari kwa madai kwamba unafurahia kuona hoja imepelekwa bungeni. Yamkini ungejielekeza kuchambua mapungufu unayodhani yapo ungewapa mwanga wabunge kuchangia ila uliamua kukaa kimya ukilisubiri bunge.

Azimio limeshapita bila mabadiliko wala maboresho yoyote kuwa wazi. Naomba kujua hiki ndicho ulikuwa unakisema au wabunge wamekuangusha? Kama wamekuangusha unadhani bado msimamo wa chama chako una faida kwa Taifa letu?
The expected. Ni watu kuingia kutafuta haki zetu
 
Mhe. Zitto Kabwe na chama chako ulikaa kimya kuhusu hoja ya bandari kwa madai kwamba unafurahia kuona hoja imepelekwa bungeni. Yamkini ungejielekeza kuchambua mapungufu unayodhani yapo ungewapa mwanga wabunge kuchangia ila uliamua kukaa kimya ukilisubiri bunge.

Azimio limeshapita bila mabadiliko wala maboresho yoyote kuwa wazi. Naomba kujua hiki ndicho ulikuwa unakisema au wabunge wamekuangusha? Kama wamekuangusha unadhani bado msimamo wa chama chako una faida kwa Taifa letu?
Huyo ni mwislam... muislam mwenzie anaonewa hawezi shupaza shingo
 
Katika watu wa hovyo wakubwa tanzania ni Zitto. mdini sana As long as samia na Mbarawa ni wa dini yake hata kusema lolote hataki.

Hivyo hivyo Fatma karume. Hovyo kabisa kabisa. Abdul Nondo

Waeleze JF kwanini Zito yuko kimya kiasi hicho? Msaliti mkubwa
 
Mhe. Zitto Kabwe na chama chako ulikaa kimya kuhusu hoja ya bandari kwa madai kwamba unafurahia kuona hoja imepelekwa bungeni. Yamkini ungejielekeza kuchambua mapungufu unayodhani yapo ungewapa mwanga wabunge kuchangia ila uliamua kukaa kimya ukilisubiri bunge.

Azimio limeshapita bila mabadiliko wala maboresho yoyote kuwa wazi. Naomba kujua hiki ndicho ulikuwa unakisema au wabunge wamekuangusha? Kama wamekuangusha unadhani bado msimamo wa chama chako una faida kwa Taifa letu?
Eneo la kula diko hutakiw kuliletea vikwazo mkuu 🤣🤣🤣
 


Hawa ndio watanzania probably ujatembelea ata page yake ya Twitter kuona anavyo re-tweet maelezo yake aliyayotoa na link ya sehemu ya speech kuhusu bandari.

Na ata upingaji wako wa bandari chances ujausoma huo mkataba wenyewe, kujiridhisha.

Ni watu wakulaumu tu bila ya kupenda kutafuta information. Zitto huyo hapo akiongelea bandari; siyo lazima imkute space au akiitisha press.
 
Katika watu wa hovyo wakubwa tanzania ni Zitto. mdini sana As long as samia na Mbarawa ni wa dini yake hata kusema lolote hataki.

Hivyo hivyo Fatma karume. Hovyo kabisa kabisa. Abdul Nondo

Waeleze JF kwanini Zito yuko kimya kiasi hicho? Msaliti mkubwa
Na lingine ni kuwa chama chake kinashikiliwa na Wazanzibari na watuhumiwa wakubwa kwenye sakata hili ni Wazanzibari,akishupaza shingo wapemba wakichomoa betri amekwisha.
 
Watanzania tuache kuwategemea hawa wanasiasa. Wao pia simu moja tu, inatosha kuwanyamazisha. Ukumbuke pia siasa ndiyo biashara yao. Muamala ukisoma vizuri, hajali wananchi tena.

Watanzania tuanze kujisimamia wenyewe, hasa kwenye mambo yanayogusa rasilimali za nchi. Siku kukichimbika hapa, hii nchi tutaheshimiana kati ya watawala na wananchi.
 
Bora Zitto na Lissu walivyoamua kuwa kimya kuliko Mbowe alivyoropoka na kuonekana mjinga
 
Its a waste kutegemea lolote toka kwake.

Lazima ataongea pumba tu.
 
Zitto Kabwe na chama chako ulikaa kimya kuhusu hoja ya bandari kwa madai kwamba unafurahia kuona hoja imepelekwa bungeni. Yamkini ungejielekeza kuchambua mapungufu unayodhani yapo ungewapa mwanga wabunge kuchangia ila uliamua kukaa kimya ukilisubiri bunge.

Azimio limeshapita bila mabadiliko wala maboresho yoyote kuwa wazi. Naomba kujua hiki ndicho ulikuwa unakisema au wabunge wamekuangusha? Kama wamekuangusha unadhani bado msimamo wa chama chako una faida kwa Taifa letu?
Zitto haja wahi kuwa mzalendo hata siku moja
Zitto bujalu tumbo lake kuliko maslahi ya nchi
Sija wahi kumuamini na stokaa nimuamini to death .
 
Katika watu wa hovyo wakubwa tanzania ni Zitto. mdini sana As long as samia na Mbarawa ni wa dini yake hata kusema lolote hataki.

Hivyo hivyo Fatma karume. Hovyo kabisa kabisa. Abdul Nondo

Waeleze JF kwanini Zito yuko kimya kiasi hicho? Msaliti mkubwa
Nimeona fatma karume anamlaumu mbowe kutaja wazanzibar. Yaani wazanzibar hawaruhusiwi kusemwa chochote

Upuuzi huu
 
Back
Top Bottom