ZENJIBARIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 669
- 1,609
Othman Masoud itamfaa sana nafasi hii,hopefully itakuwa yeye.
Wewe unae ijua ACT tuambie basiACT ni CCM?
hujui katiba ya ACT wala masuala ya Protocol. Kaisome katiba yao juu ya Mamlaka ya Kiongozi wa Chama.Tamko hakutakuwa atoe Zitto Kabwe lilitakiwa kutolewa na viongozi wa ACT wazalendo wa Upande wa Zanzibar.
Katiba ya ACT na CCM ziko quite different sasa inawwzekanaje ACT wakafuata utaratibu wanaotumia ccm? Una miaka mingapi kwanza maana utakuta najibishana na mtoto mdogoWewe unae ijua ACT tuambie basi
Usijifanýe hamnazo mkuu.
You know it doesn't work out that way
unless unamjua hawala ya kaka au baba yako etc ndiyo useme hivyo, short of that huna legitimacy ya kusema hivyoHuku Kwetu Ubunge tu wakubwa wamegeukana wakapeleka majina ya Wake na Mahawara zao wakigiza kukutana kuwasimamisha Uanachama
Nakushauri soma comnents zangu ukiwa cool headed na si vinginevyo - wapi nimesema maoni yangu ndio final - wapi? Nilicho fanya ni kutoa angalizo basi whether nimechelewa au nimewahi hiyo ni immaterial.Muwe waelewa. Mshaambiwa jina lishatumwa sasa kama ni mazrui, au othman au babu duni sisi tusubirini tu
Umempiga kirungu alieuliza suala la mtu asie na uwezo wa kufikiri,Mbona mgombea uraisi wa CCM-ZnZ hua anapitishwa Dodoma
Tamko hakutakuwa atoe Zitto Kabwe lilitakiwa kutolewa na viongozi wa ACT wazalendo wa Upande wa Zanzibar.
Hamnazo sio matusi.Siri sirini, mnaficha nini, taja tu!
hamnazo matusi, nakuja kwako baadaye usilalame
Just a simple question: Unaweza kumwambia baba yako kuwa usijitie hamnazo? If your answer is in the affirmative, then you are spared/right; if the answer is in the negative, then you deserve revenge!Hamnazo sio matusi.
Wewe kama unataka kuja kwangu kunitukana karibu sana.
I was cool headed then and I am right now.Nakushauri soma comnents zangu ukiwa cool headed na si vinginevyo - wapi nimesema maoni yangu ndio final - wapi? Nilicho fanya ni kutoa angalizo basi whether nimechelewa au nimewahi hiyo ni imaterial.
Then welcome mkuu!Just a simple question: Unaweza kumwambia baba yako kuwa usijitie hamnazo? If your answer is in the affirmative, then you are spared/right; if the answer is in the negative, then you deserve revenge!
Enjoy your Sunday!Then welcome mkuu!
Same to you!Enjoy your Sunday!