Zitto: Tumekabidhi nchi kwa washamba na malimbukeni

Mie hata simuelewi wala sijawai kumuelewa mchumia tumbo huyu leo hii mkulu akienda kwenye jimbo lake atamsifia sifa zote na kumueleza wapinzani wenzie washamba na wapenda sifa tuwe makini wananchi wenzangu na wachumia matumbo yao na familia zao maana sie ndio tunaumia...
Nchi hii inaangamia kutokana na vichwa vya wengi kujaza ujinga! Zitto ameweka maoni na mtazamo wake wewe unang'ang'ana kumjadili yeye badala ya kujadili alichowasilisha? Ulitaka Rais alivyoenda jimboni kwake ndio amwambie kuwa anaendesha nchi kishamba? Hovyo kabisa nyie watu..
 
Naona taifa linagawanyika na raia hawana amani na furaha mwisho tunamkaribisha shetani ndani ya mioyo na mwisho wake nikufanya mambo ya kishetani badala mambo ya upendo.

Ushamba ni nini?
Ushamba mambo mengi, kushangaa jambo ambalo wenzio wanaliona la kawaida ni ushamba, kufanya mambo uonekane wewe siyo mshamba ndiyo ushamba zaidi. Kila zama na ushamba wake. Na kila sehemu na ushamba wake.

Ulimbukeni ni nini au ni nani?
Limbukeni ni mtu anayeanza kitu kwa mara ya kwanza. Yaani hajawai fanya kitu kama hicho au hajawai kuishi maisha ya aina flani na ndo kayakuta. Kwa mfano mtu hajawai kuwa na smart phone basi kaipata najua utajua nini kitafuta.

Sasa najiuliza katika mihimili ya nchi hasa bunge na urais nani ana sifa alizozitaja Zitto Kabwe?

Tukianza na Bunge anakotokea kuna vitu viwili ambavyo Zitto kavifanya hapa karibuni vinavyoonyesha kuwa vimeukela muhimili huu.
1. Baada ya Lissu kupigwa risasi Zitto aliona bunge halina ubinadamu kwa kutomtibu Lissu nje ya nchi wakati spika katoka India kwa matibabu yaliyochukua zaidi ya miezi 2 na bado anarudi tena kimya kimya na ametumia mabilioni ya shilongi. Wakati huo huo Mrema nae alitibiwa nje kwa kodi za umma.

2. Zitto alisema bunge lineendeshwa na Rais na halina meno imeonekena pia kumchafua spika.

3. Zitto kusema hajafika hata 10% ya Sitta wala ya Makinda katika kuongoza Bunge nalo likamtoa povu spika
4. Swala la spika kumwambia rais amsaidie kuchagua kamati ya kuchunguza madini ya almasi na tanzanite huku ripoti ikisomwa nje ya viwanja vya bunge na kukimbizwa kwa rais kabla ya bunge kujadili

Tukija kwa muhimili wa Ikulu

1. Zitto kaishutumu serikali kuchukua mkopo wa dola mil 500 kwa riba ya dola mil 400 bila bunge kujuliswa na hii imeonyesha kuwa bunge limewekwa mfukoni.
2. Nchi kuendeshwa na one man show na dalili za udikteta

Sasa hapo kuna Walimbukeni na washamba au??
Kwani yeye Zitto ana ujanja gani?!!!
 
Z
Naona taifa linagawanyika na raia hawana amani na furaha mwisho tunamkaribisha shetani ndani ya mioyo na mwisho wake nikufanya mambo ya kishetani badala mambo ya upendo.

Ushamba ni nini?
Ushamba mambo mengi, kushangaa jambo ambalo wenzio wanaliona la kawaida ni ushamba, kufanya mambo uonekane wewe siyo mshamba ndiyo ushamba zaidi. Kila zama na ushamba wake. Na kila sehemu na ushamba wake.

Ulimbukeni ni nini au ni nani?
Limbukeni ni mtu anayeanza kitu kwa mara ya kwanza. Yaani hajawai fanya kitu kama hicho au hajawai kuishi maisha ya aina flani na ndo kayakuta. Kwa mfano mtu hajawai kuwa na smart phone basi kaipata najua utajua nini kitafuta.

Sasa najiuliza katika mihimili ya nchi hasa bunge na urais nani ana sifa alizozitaja Zitto Kabwe?

Tukianza na Bunge anakotokea kuna vitu viwili ambavyo Zitto kavifanya hapa karibuni vinavyoonyesha kuwa vimeukela muhimili huu.
1. Baada ya Lissu kupigwa risasi Zitto aliona bunge halina ubinadamu kwa kutomtibu Lissu nje ya nchi wakati spika katoka India kwa matibabu yaliyochukua zaidi ya miezi 2 na bado anarudi tena kimya kimya na ametumia mabilioni ya shilongi. Wakati huo huo Mrema nae alitibiwa nje kwa kodi za umma.

2. Zitto alisema bunge lineendeshwa na Rais na halina meno imeonekena pia kumchafua spika.

3. Zitto kusema hajafika hata 10% ya Sitta wala ya Makinda katika kuongoza Bunge nalo likamtoa povu spika
4. Swala la spika kumwambia rais amsaidie kuchagua kamati ya kuchunguza madini ya almasi na tanzanite huku ripoti ikisomwa nje ya viwanja vya bunge na kukimbizwa kwa rais kabla ya bunge kujadili

Tukija kwa muhimili wa Ikulu

1. Zitto kaishutumu serikali kuchukua mkopo wa dola mil 500 kwa riba ya dola mil 400 bila bunge kujuliswa na hii imeonyesha kuwa bunge limewekwa mfukoni.
2. Nchi kuendeshwa na one man show na dalili za udikteta

Sasa hapo kuna Walimbukeni na washamba au??
Zitto naye si amewahi kutibiwa kipanda uso hukohuko India kwa kodi za wananchi?
 
Huyu mtu nae ni mshamba vile vile, anapokaa na wataalam wa mamlaka ya anga anaongea vingine akikaa mbele ya laptop yake anaandika mengine kabisa!!.

Ni mnafiki wa kisiasa, ndio maana pale uwanja wa lake Tanganyika wakati anamkaribisha rais ahutubie, mheshimiwa JPM alikuwa haonyeshi kuchangamshwa na kilichosemwa na huyu mbunge, kwa sababu hakitoki moyoni.

Asijigeuze mjanja sana kwa sababu anasoma vitabu vya watu mbalimbali, asijigeuze mjini kitambo akaleta dharau za kipumbavu, anaweza kufanyiziwa akabaki anasononeka mpaka siku yake ya mwisho ulimwenguni.
Unamaanisha wote washamba-Zitto na mwingine?
 
Naona taifa linagawanyika na raia hawana amani na furaha mwisho tunamkaribisha shetani ndani ya mioyo na mwisho wake nikufanya mambo ya kishetani badala mambo ya upendo.

Ushamba ni nini?
Ushamba mambo mengi, kushangaa jambo ambalo wenzio wanaliona la kawaida ni ushamba, kufanya mambo uonekane wewe siyo mshamba ndiyo ushamba zaidi. Kila zama na ushamba wake. Na kila sehemu na ushamba wake.

Ulimbukeni ni nini au ni nani?
Limbukeni ni mtu anayeanza kitu kwa mara ya kwanza. Yaani hajawai fanya kitu kama hicho au hajawai kuishi maisha ya aina flani na ndo kayakuta. Kwa mfano mtu hajawai kuwa na smart phone basi kaipata najua utajua nini kitafuta.

Sasa najiuliza katika mihimili ya nchi hasa bunge na urais nani ana sifa alizozitaja Zitto Kabwe?

Tukianza na Bunge anakotokea kuna vitu viwili ambavyo Zitto kavifanya hapa karibuni vinavyoonyesha kuwa vimeukela muhimili huu.
1. Baada ya Lissu kupigwa risasi Zitto aliona bunge halina ubinadamu kwa kutomtibu Lissu nje ya nchi wakati spika katoka India kwa matibabu yaliyochukua zaidi ya miezi 2 na bado anarudi tena kimya kimya na ametumia mabilioni ya shilongi. Wakati huo huo Mrema nae alitibiwa nje kwa kodi za umma.

2. Zitto alisema bunge lineendeshwa na Rais na halina meno imeonekena pia kumchafua spika.

3. Zitto kusema hajafika hata 10% ya Sitta wala ya Makinda katika kuongoza Bunge nalo likamtoa povu spika
4. Swala la spika kumwambia rais amsaidie kuchagua kamati ya kuchunguza madini ya almasi na tanzanite huku ripoti ikisomwa nje ya viwanja vya bunge na kukimbizwa kwa rais kabla ya bunge kujadili

Tukija kwa muhimili wa Ikulu

1. Zitto kaishutumu serikali kuchukua mkopo wa dola mil 500 kwa riba ya dola mil 400 bila bunge kujuliswa na hii imeonyesha kuwa bunge limewekwa mfukoni.
2. Nchi kuendeshwa na one man show na dalili za udikteta

Sasa hapo kuna Walimbukeni na washamba au??
Huyo Zito asubilie tu kuchukuliwa hatua nyingine kwa hizo kejeli dhidi ya Bunge kwa safari nyingine, Serikari, Mahakama na nk.

Na huyo mbunge hapewi adhabu kali ndio maana hakomi
 
Mm toka Dec 2015 nliwahi kuwaambia rafk zangu kua tunaongozwa na rais mshamba wa kiwango cha phd so haya yanayoendelea hata hayashangazi sana
 
Back
Top Bottom