Zitto: Sijahongwa, ni siasa za urais na hasira za posho!

Status
Not open for further replies.
Nimesoma kwa makini sana post ya Mh. Lema iliyosema "Unafiki wa Zitto Kabwe na suala la posho" pia nimesoma kwa makini majibu ya Mh. Zitto yaliyowekwa na JF nikagundua Zitto amejibu hoja 1 tu kati ya hoja/tuhuma 3 za msingi za Mh. Lema kama ifuatavyo; 1. Kukataa kupokea posho ndogo ya bunge wakati huohuo anachukua posho kubwa ya vikao katika mashirika. 2. Msimamo/hoja ya kukataa posho haikuwa yake bali ni maamuzi ya kambi rasmi ya upinzani (walijadili pamoja). 3. Anatumia vyombo vya habari kupotosha ukweli na kutafuta sifa ambazo kimsingi hana".

Namwomba Mh. Zitto atoe ufafanuzi kama msimamo wa kukataa posho ulikuwa wake binafsi au wa chama kama Lema alivyo mtuhumu? kama ni hoja ya chama kwanini alijitokeza kutoa hoja kama yake binafsi?, Je ni kweli anatumia media kutafuta sifa; nawasilisha.
 
...tumechoka na kuzungumzia wasaliti. Tunawajua na tutawajua,tutawang'oa kwa garama yoyote ile,tumeanza na hatutakaa mpaka kieleweke...
 
Mnafiki siku zote utoa majibu ya kinafiki ambayo hushabikiwa na Wanafiki, Ndugu usitarajie kupata jibu lingine kutoka kwa Zitto zaidi ya alichokiandika kule ambacho kwangu mimi nimeona ametoa majibu mepesi katika Hoja nzito.
 
Akihutubia Maelfu ya Wananchi,Zitto Kabwe amejikita kwenye mambo Makuu Manne,Moja amesema ni kweli kunaupande ndani ya Chadema wa upande Flanin wao ni Malaika hawakosei,Ndio maana katika kesi zote ndani ya chama hukutani na suruba yoyote ile kama wewe ni waupande Flani.
Nanukuu "sisi waha hatuna Ugomvi na WACHAGA,Kuna wachaga wachache ndio wakorofi,wanahodhi madaraka,Lakini si wachaga wote ni wakorofi,Kunawachaga ambao ni maskini wanahitaji wabunge wanao wapigania kama mimi,MM napigania maslahi ya Watanzania,Buzwagi haikuwa ya wanakigoma,Kumuwajibisha waziri Mkuu haikuwa ya wanakigoma na hata hii ya juzi Bungeni haikuwa ya wana kigoma ni kwa maslahi ya Watanzania wote.

Pia kitendo changu cha kuzungumzia ukaguzi waa mahesabu ya Vyama vya siasa ndio inanimaliza kabisa,eti naambiwa kwanini Sikukiambia chama mapema ilikijipange.NO mimi nasimamia maslahi ya Nchi,Chama kinafuata.
Vile vile Posho nimekataa Bungeni,Sitting allowance za kuweka tu makalio sitaki,Mshahara wa Waziri Mkuu ni Mi.26 wangu ni Milioni 3 na nusu,Unanitosha kabisa,Sitting Alowance zanini??
Mkutano Umemalizika,jamaa kafunika haijawahi kutokea
1533968_635967556465319_1627702990_n.jpg
1507044_635967833131958_1665074636_n.jpg
1477976_635968339798574_1632420634_n.jpg
 
Naona baada ya kukata tamaa,sasa kaamua liwalo na liwe.


Vile vile huenda huo umati umemdanganya akajisahau akaanza kuropoka.

Anyway,wanasiasa wote si watu wa kuwaamini sana.

Ipo siku ukweli utajulikana tu.

It is just a mattet of time!
 
Zitto na lowassa ni zaidi ya vyama vyao, hawa mabwana wakiungana wakaingia sehemu kama nccr hivi, hii nchi, mikoa, wilaya na viunga vyake vitachimbika nasema.
 
tuko pamoja
kimbiza haoooooo!!!

kwa pamoja tuutokomeze ukiritimba

"togather we can"
 
Akihutubia Maelfu ya Wananchi,Zitto Kabwe amejikita kwenye mambo Makuu Manne,Moja amesema ni kweli kunaupande ndani ya Chadema wa upande Flanin wao ni Malaika hawakosei,Ndio maana katika kesi zote ndani ya chama hukutani na suruba yoyote ile kama wewe ni waupande Flani.
Nanukuu "sisi waha hatuna Ugomvi na WACHAGA,Kuna wachaga wachache ndio wakorofi,wanahodhi madaraka,Lakini si wachaga wote ni wakorofi,Kunawachaga ambao ni maskini wanahitaji wabunge wanao wapigania kama mimi,MM napigania maslahi ya Watanzania,Buzwagi haikuwa ya wanakigoma,Kumuwajibisha waziri Mkuu haikuwa ya wanakigoma na hata hii ya juzi Bungeni haikuwa ya wana kigoma ni kwa maslahi ya Watanzania wote.

Pia kitendo changu cha kuzungumzia ukaguzi waa mahesabu ya Vyama vya siasa ndio inanimaliza kabisa,eti naambiwa kwanini Sikukiambia chama mapema ilikijipange.NO mimi nasimamia maslahi ya Nchi,Chama kinafuata.
Vile vile Posho nimekataa Bungeni,Sitting allowance za kuweka tu makalio sitaki,Mshahara wa Waziri Mkuu ni Mi.26 wangu ni Milioni 3 na nusu,Unanitosha kabisa,Sitting Alowance zanini??
Mkutano Umemalizika,jamaa kafunika haijawahi kutokea
1533968_635967556465319_1627702990_n.jpg
1507044_635967833131958_1665074636_n.jpg
1477976_635968339798574_1632420634_n.jpg

Karibu zitto..anathing goes roudn comes around.kesho ongelea uislam tena ndnai ya CDm,ukimaliza weka ukaskazini..time isnot on your side...CC wanakuchinjia baharini ..na sasa hawaogopi kusikia unachotaka tumia wablackmail....
 
Zitto na lowassa ni zaidi ya vyama vyao, hawa mabwana wakiungana wakaingia sehemu kama nccr hivi, hii nchi, mikoa, wilaya na viunga vyake vitachimbika nasema.

Sio kama CDM siwapendi tu,lkn nawachukia lkn Lowasa akihamia CDM ntamfwata hata akienda PPT MAENDELEO.Kijajana yule ana hatari!!hakunaga Bongo!!
 
naibu katibu ni kiongoz na mtendaji wa chama kama alijua kuna sheria ya vyama kukaguliwa na chama chake kilikuwa hakijaitekeleza je alichukua hatua gani? au alisubiri iwe agenda yake kwenye majukwaa? uko wapi utendaji anaouita wa kizalendo na kujenga chama?
 
Unafiki na ujinga unachosha.....ninaapa leo ningekuwa leo Kasulu kwa moyo meupe ningemuuliza mbunge wa kigoma live.Pamoja na kwenda pambana na wachaga sana...kaona mafanikio yao.Nini kajifunza kwao ambacho ni muhimu kwa wana Kigoma ili nao wafikie walipo wenzao?

Huyu mbunge km atabaki akiniambia ubingwa wake wa kupambana nao palepale ningemwambia na kumuuliza haya?

1.Hukutumwa kwenda jifunza popote duniani ili uje tufanikisha?
2.Je anayofanya si kuwanyima wana kigoma wenye kiu ya maendeleo kujifunza walichojifunza kwa wenzetu walifika mbali?

3.Je lini kaambiwa kuna haja ya ku re-invent the wheel tena?Km wachaga wamefanya na wana model inayowork na ni bure kuitumia kwanini mbunge apambane nao badala ya kujifunza kwao?

4.Je anachofanya ni kukaribsiha maendelo au ni kuyapiga vita?

5.Je anaamini anachokifanya kitatufiisha wapi na lini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom