Duh mbona kakuingia kichwani mno?
utaweza pata usingizi kweli?
huwezi kum ignore?
Duh mbona kakuingia kichwani mno?
utaweza pata usingizi kweli?
huwezi kum ignore?
Mkuu unamaanisha peter selukamba? maana ujaweka bayana maswali ni mengi juu ya uzi wako!
Jamaa atakufa kwa stress kisa zito
Sio kama CDM siwapendi tu,lkn nawachukia lkn Lowasa akihamia CDM ntamfwata hata akienda PPT MAENDELEO.Kijajana yule ana hatari!!hakunaga Bongo!!
lazima mbowe na slaa wapagawe huu moto wa zitto ni kiboko.
Zitto na lowassa ni zaidi ya vyama vyao, hawa mabwana wakiungana wakaingia sehemu kama nccr hivi, hii nchi, mikoa, wilaya na viunga vyake vitachimbika nasema.
Zitto hajengi chama anabomoa chama hafai kabisa
[h=5]Zitto Kabwe
[/h]Nitapambana kutetea uanachama wangu.
Kwa upinzani ni lazima tufanye tofauti na CCM. Tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma kwa upinzani ni mbaya zaidi kuliko. Hivyo uwajibikaji kwa wote bila kujali vyama. Uwajibikaji sio msamiati kwa watawala tu bali kwa viongozi wote. Namna tunavyotaka nchi iendeshwe ndivyo hivyo tuendeshe vyama vyetu. Tuhuma dhidi ya Kiongozi wa Upinzani kuhusu masuala ya uadilifu zinapaswa kuhukumiwa kwa namna ile ile wanayohukumiwa watawala.
Ninarudia kuwaambia ndugu zangu kwamba sitoki CHADEMA. Chama kina jasho langu na nitapambana mpaka dakika ya mwisho kutetea haki ya uanachama wangu.
Mimi ni CHADEMA toka ujana. Niliingia CHADEMA kwa kuchagua na sio wengine walioingia kwa Mazingira Ya kupata fursa za kugombea. Wengine wangepitishwa na chama walichokuwa kuwa wagombea Leo wasingekuwa upinzani na inawezekana wangekuwa mawaziri mizigo au waendesha operesheni tokomeza!
lazima mbowe na slaa wapagawe huu moto wa zitto ni kiboko.