hii hoja haina mantiki yoyote kwa maana hii nchi imekwishatawaliwa na marais wanne na kili mmoja wao hakuna hata mmoja aliyeweza kuondoa kero za watanzania wote Kwa hiyo mnachosema kuhusu jk ni kama mnamuonea tu na hasa baada ya huyu rusputini wenu kukosa urais
Aise we ni makupa wa GRM au?mana siamini unaweza ongea huu upupu