The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
"Serikali haikopi fedha ili ijenge bandari, viwanda au kugharamia miradi ya maendeleo, bali inakopa ili ilipe mishahara ya wafanyakazi,"
kaka zitto nilikuambia (nilipokuwa natumia akaunti ya Jerusalem, kabla sijapigwa ban) kuwa anko JK ni msanii. Amewaahidi wanakigoma Paradiso a.k.a Dubai ya Tanzania, kumbe hawezi hata kulipa mishahara!? Looooooooo!
Zitto wewe ni mwanamapinduzi. Kama kuna tatizo ndani ya chama chetu yamalizeni kiutu uzima muendeleze mapambano. ni aibu kwa kijana smart kama wewe kusaliti mapambano muliyoyaanzisha na wenzako.
Wamarekani wamemtafuta Usama kwa miaka kumi. Ndani ya mapambano kulikuwa na friendly-fire kibao, lakini hatimaye wamefanikiwa kummaliza.
CCM must go!!
Achana na huyo laghai wa Bagamoyo.