Zitto: Nitamuunga mkono Mbowe

Zitto: Nitamuunga mkono Mbowe

Yule Mzee wa IPP tayari kila mtu anajua janja yake na jitihada kubwa anazozifanya katika kuangusha CCM, tunajua kila kitu alichokifanya katika kusaidia CDM na jitihada zake.

Kwa mwenendo huu siku ya mwisho atapata aibu kubwa sana na kama kawaida yake asije kulia hadharani maana kwa kulalamika na kulia kama mtoto wa kike ni namba Moja!

Alifanya hila kubwa uchaguzi wa serikali za mitaa lakini mwishowe aliangukia pua sasa tunaratibu kila kitu na tutakuja kuweka hadharani.

heeeeh!!! mnamlaumu tena mengi kwenye kipigo cha serikali za mitaa.!!
pamoja na pingamizi 40%bado tu mnajiesabu eti mlishinda?
 
Zitto ni mwanasiasa bora sana anayesimamia hoja.

Rasilimali za nchi zinaporwa na makuwadi kama muhongo na kutuhadaa na umeme wa REA ambao sio mali yake binafsi.

Dalali Muhongo akae pembeni ili afungue ofisi yake binafsi ya udalali lakini sio kutumia ofisi za umma kudalalia madini na mafuta ya watanzania.
 
Wachaga wanania mbaya sana na nchi hii mh.Membe njoo uliokoe ili taifa
 
naona ugomvi wa mengi na muhongo utazua mjadala mkubwa siku za usoni.
mengi amegombana na wafanya biashara wengi sana wakiwemo manj na rostam sasa ameona akimbilie kwa wana siasa siku maadui zake wakijikusanya atakuwa pabaya sana

na kikwete amegombana na nani? maaana kashifa zote zinatokea katika utawala wake. EPA,Richmond,Tokomeza,Meremeta,Escrow,bomba la gesi n.k
 
Yule Mzee wa IPP tayari kila mtu anajua janja yake na jitihada kubwa anazozifanya katika kuangusha CCM, tunajua kila kitu alichokifanya katika kusaidia CDM na jitihada zake.

Kwa mwenendo huu siku ya mwisho atapata aibu kubwa sana na kama kawaida yake asije kulia hadharani maana kwa kulalamika na kulia kama mtoto wa kike ni namba Moja!

Alifanya hila kubwa uchaguzi wa serikali za mitaa lakini mwishowe aliangukia pua sasa tunaratibu kila kitu na tutakuja kuweka hadharani.

mnachekesha sana ccm. ile singo yenu ya kudai kikwete anaandamwa sababu ya dini yake imechuja sasa ndio mmetoa singo nyingine kuhusu mengi. Kumbukeni yote haya ni mzimu wa Kolimba unawatafuna. kumbukeni kauli yake miaka 21 iliyopita kuwa "CCM imepoteza dira"
 
​kwanini huyu dogo ni msaliti sana ona sasa anaitosa hadi ACT
 
halafu inaonekana hawaamini, waliamndamana kutaka muhongo asiondolewe eti kapeleka umeme wakasahau BRN
Tatizo Watz wanaccm wamejigeuza mazuzu. Prof. Muhongo wakati anakabidhiwa wizara aliikuta TANESCO inapata hasara ya bilioni 50, mwaka wa fedha ulioisha wamepata hasara ya zaidi ya bilioni 400. Kwanini kashindwa kupunguza hasara TANESCO. Huo uchapa kazi upo wapi? Kama TANESCO wangekuwa wamejiunga kwenye soko la hisa je, bei ya hisa zao ingekuwaje? Ufanisi wa Prof ni duni kwa vigezo vya kitaaluma. Hata lile alilolisema kwa kinywa chake limemshinda, "mgao wa umeme utabaki kuwa historia".
 
naona ugomvi wa mengi na muhongo utazua mjadala mkubwa siku za usoni.
mengi amegombana na wafanya biashara wengi sana wakiwemo manj na rostam sasa ameona akimbilie kwa wana siasa siku maadui zake wakijikusanya atakuwa pabaya sana
We mwehu, mbona unatuharibia mjadala kwa mahaba yako kwa mafisdi!
 
Kama Wabongo wataijua haswa CUF wallah sizani kama kuna hata mmoja atae shabikia ,waulizeni wanyamwezi wenzenu waliko Pemba wakati wa uandikishaji ,washakaa zaidi ya miaka 13 hawapewi haki wanapingwa na CUF lkn wakija waarabu hata kama yule wakala wa CUF hamjui basi ile rangi yake yatosha hata kama sikaazi ,ebu tizama mgawanyo wao wa madaraka utakupa jibu ,nasema hivi Wallah kwa jicho langu nimeliona
 
Back
Top Bottom