Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,467
- 122,771
Sasa Mtu Mwenye historia ya kutumika Mie naanzaje kumuamini?
Amekuambia anahitaji umuamini?
Sasa Mtu Mwenye historia ya kutumika Mie naanzaje kumuamini?
Kuna watu wengine ni kama wlikufa wakati wa vita ya majimaji halafu unamfufua siku moja kasha unaomba ushauri wake kuhusu hali ya kisiasa nchini. Utapata mawazo kama ya huyu Kipara ngoto!Umakini wake utakamilika atakapo kamilisha shepe la mwisho kuifukia chadema kaburini ndipo mtakapomjua vizuri madhumuni yake ya hiyo tr 1.5
Hao ndio wale watoto wa miaka ya 90. wanaanza kutembea ndio wakati ule Mwalimu Nyerere anaaga dunia.Kama Zitto ulianza kumsikia ukiwa mdogo yaan 2005 maana yake hujawahi kumsikia Mwenyekiti wa a Chadema Mwingine zaid ya aliepo Segerea maana Kaanza Kuwa Mwenyekiti Miongo kadhaa iliyopita