Zitto: Ndio ninautaka urais

Zitto: Ndio ninautaka urais

Status
Not open for further replies.
Humu sisi si waamuzi, bilashaka katiba yao inautaratibu wa kuteuwa mgombea. Ila kwa swali lako wote wanafaa kama kikatiba wote wanasifa? Kikwazo kwa Zitto hivisasa ni umri, ila 2020 hatakuwa na pingamizi.
 
Ila watu wa kigoma sijui wakoje umaarufu kidogo tu wanataka kuongoza watu.kumbe ndomaana toka tupate uhuru hatujawai kuwa na mkuu wa majeshi kutoka kigoma watawala wanaogopa wasije pingunduliwa na this peoples.


Hapa umegonga penyewe mkuu, mapinduzi kwa hawa jamaa ni popote! na watu kama hawajui ngoja waingie chaka watajua nini maana yake.
 
- Ninaamini ni haki ya Zitto kikatiba kugombea anything, msiomataka Zitto mnapwaya sana kwenye hoja wengi wenu mnajikita kwenye kujali chama kuliko Taifa
Well said mkuu
Kiukweli CDM kwenye swala la demokrasia ya kuchaguliwa bado ni tatizo, viongozi wa CDM wamewaamini sha wapenzi wao kuwa kuna baadhi ya watu tu ndio wanauwezo wa kufanya jambo fulani, na kwa bahati mbaya wapenzi wao nao wamemeza nzima nzima dhana hiyo, huwaelezi kitu
Kimsingi alichofanya Zitto ni haki yake ya kikatiba kabisa, na wala hajalazimisha mtu kumuunga mkono, na wala hajasema ni lazima yeye ateuliwe sasa hapo ajabu ni nini
Acheni mambo yaende katika flow yake, mwisho wa siku si watachukua form kwa kila anayetaka na mchakato utafanyika na hapa sasa chama kitapima kwa taratibu zake za kikatiba kupata candidate wa uraisi kwa CDM
 
Ni wiki moja sasa baada ya Zitto kabwe kutangaza kwamba atangombea urais uchaguzi ujao endapo atapitishwa na chama chake kumekuwa na hoja kwamba Zitto anafaa kugombea wengine wakipinga vikali na kudai Dr slaa bado anastahiri kugombea urais kwa mwaka 2015, sasa basi we unaonaje?
Kwa upande wangu napendekeza Dr slaa angombee ndiye agombee uchanguzi ujao ili tu aweze kubadilisha mfumo mzima wa nchi kwa miaka mitano tu na baada ya hapo ndipo Zitto aombe ridhaa kwa chama. Kwani watu wengi bado wanaimani sana na Dr Slaa kuliko hata Zitto.
Nawasilisha

ZITTO anafaa sana kuliko SLAA ni kijana, anafanya maamuzi bila kukurupuka. Ni mfumo gani huo wa nchi ambao SLAA anaweza kbadilisha ambao ZITTO hawezi? Nchi yetu ni ya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, nchi inayofuata utawala wa Sheria, nchi yetu inaheshimu haki za binadamu na mawazo ya kila mtu bila kujali rangi, kabila, wala dini. SLAA anataka kuja na nini? Tuwepuke hao wanaokuja na hoja za mifumo mipya yasije yakatokea yale ya LIBYA, MISRI, TUNISIA na kwingineko. NARUDIA tena ZITTO ni zaidi ya mawazo mgando ya MZEE SLAA ya siasa za majungu, visasi na uchu wa madaraka.
 
Hapa unajaribu kuuliza nini!?......hueleweki hivi mwanasiasa kama hukubaliki na huna hoja ulizojenga ni kwa nini uchaguliwe wewe unategemea utapigiwaje kura? labda members wengine watakuelewa mimi nimeshindwa kukuelewa.
Marehemu sio hakufanya kabisa kampeni lakini alishinda...........
Au Dr Slaa alishindwa hoja na JK ndiomaana JK akashinda?
Mkuu unajifanya hujui siasa za nchi hii
 
Mkuu mi naomba nikusaidie kwa kuunga mkono hoja yako, Korea hawana democrasia yule Dogo pale karithi tu kutoka kwa baba yake kwani umesikia kulikua na uchaguzi wowte.


"Asante"
 
Zitto ni mwanasiasa mzuri lakini not katika level ya uraisi,hawezi na hata kura hawezi kupata,nani wa kumpa kura.Pia ni mroho wa madaraka na kale katabia ka kimkoa anako sana,ni mnafiki mzuri tu na opportunist lakini hautambua vizuri uwezo wake.Pia kwa tunao mjua afya yake ni questionable
 
Lete hoja zenye kwenda na wakati. Tuna mambo mengi ya kufanya sasa kabla ya kuuuliza rais 2015 ni nani. Tuchangie katiba mpya wakati ukifika. Tutoe nafasi kwa wagombea binafsi tupanue wigo. Mjadala huu umeminywa na katiba ya sasa ya mgombea lazima atoke kwenye chama. Wapo wengi wanaoweza kugombea urais na wakawa wazuri bila chama

Safi sana Mkuu. watu wanafikiri chama ndiyo kila kitu. Hivi sasa vyama vinatumiwa tu watu kujinufaisha matumbo yao.Angalia wimbi la kutembeza bakuli kuomba pesa za kushibisha matumbo kwa kisingizio cha kujenga vyama. Hongera ZITTO KABWE kama vipi gombea kama mgombea binasi tuko nyuma yako.
 
Ni wiki moja sasa baada ya Zitto kabwe kutangaza kwamba atangombea urais uchaguzi ujao endapo atapitishwa na chama chake kumekuwa na hoja kwamba Zitto anafaa kugombea wengine wakipinga vikali na kudai Dr slaa bado anastahiri kugombea urais kwa mwaka 2015, sasa basi we unaonaje?
Kwa upande wangu napendekeza Dr slaa angombee ndiye agombee uchanguzi ujao ili tu aweze kubadilisha mfumo mzima wa nchi kwa miaka mitano tu na baada ya hapo ndipo Zitto aombe ridhaa kwa chama. Kwani watu wengi bado wanaimani sana na Dr Slaa kuliko hata Zitto.
Nawasilisha


Dr.Slaa and Zitto are two characters diametrically opposed. These are not comparing at all and I fail to understand how one can do that without downtroddeing the former who is the man at his best-intellectual, charismatic, intellectualleader in the contemporary world. Kumlingalisha na zito ni mkosea heshima. Kama mnataka kulingalisha mtafutie Zitto size zake wapo wengi na lete uzi mwingine. Kwa kuwa mnataka kulinganisha yasiwezekana tuachane na uzi huu ili akili yetu na muda wetu visiamishwe toka Arumeru
 
Ni wiki moja sasa baada ya Zitto kabwe kutangaza kwamba atangombea urais uchaguzi ujao endapo atapitishwa na chama chake kumekuwa na hoja kwamba Zitto anafaa kugombea wengine wakipinga vikali na kudai Dr slaa bado anastahiri kugombea urais kwa mwaka 2015, sasa basi we unaonaje?
Kwa upande wangu napendekeza Dr slaa angombee ndiye agombee uchanguzi ujao ili tu aweze kubadilisha mfumo mzima wa nchi kwa miaka mitano tu na baada ya hapo ndipo Zitto aombe ridhaa kwa chama. Kwani watu wengi bado wanaimani sana na Dr Slaa kuliko hata Zitto.
Nawasilisha

Jibu: DR. W. Slaa zaid!
 
hoja hazina msingi, wakati ukifika chama kitaamua mbinu gani kitumie kumpata mgombea, chadema sio ccm jamani!
Mjadala wa mgombea anayefaa lazima uanzie humu JF. Tatizo ni kwamba wanachadema badala ya kutafuta mchawi ndani ya chama tunakimbilia CCM wakati na wao wana misalaba yao. Tusipokubali tukaanza kujadili nani agombee kupitia CDMA kuanzia sasa, hakika mwisho wake ni CHAMA kusambaratika. Dalili za mvua ni mawingu, Chama kinakosa mvuto kutokana na watu kung'ang'ania madarakani kama kupe. Angalia yanayokikuta CUF kila kukicha SHARIFF , LIPUMBA kwani hakuna wengine? MBOWE na SLAA nao kuna haja wakae pembeni waachie ZITTO, MNYIKA, MDEE na weingine wengi
 
Ni wiki moja sasa baada ya Zitto kabwe kutangaza kwamba atangombea urais uchaguzi ujao endapo atapitishwa na chama chake kumekuwa na hoja kwamba Zitto anafaa kugombea wengine wakipinga vikali na kudai Dr slaa bado anastahiri kugombea urais kwa mwaka 2015, sasa basi we unaonaje?
Kwa upande wangu napendekeza Dr slaa angombee ndiye agombee uchanguzi ujao ili tu aweze kubadilisha mfumo mzima wa nchi kwa miaka mitano tu na baada ya hapo ndipo Zitto aombe ridhaa kwa chama. Kwani watu wengi bado wanaimani sana na Dr Slaa kuliko hata Zitto.
Nawasilisha

Uko sahihi isipokuwa inatakiwa Dr. Slaa aongoze miaka 10 na kuhusu Zito mbona nakuwa sina imani nae tangia kawekwa secta ya madini? Naona kama mambo yake yamekaa ki ccm na kama inatumiwa na ccm kuipunguza kasi ya cdm
 
Kikwete na Lowasa nani anafaa kuwa mwenyekiti wa CCM? nadhani hapa ndipo tunapopaswa kuanzia maana CCM ndio ina uchaguzi wa ndani mwaka huu.

Magamba wanatuhusu nini sisi?
 
Jamani hivi CDM hawana utaratibu wa kupata mgombea uraisi?
Kuna ajabu gani mwanachama akisema atatumia haki yake ya kutaka kugombea nafasi hiyo?
 
Well said mkuu
Kiukweli CDM kwenye swala la demokrasia ya kuchaguliwa bado ni tatizo, viongozi wa CDM wamewaamini sha wapenzi wao kuwa kuna baadhi ya watu tu ndio wanauwezo wa kufanya jambo fulani, na kwa bahati mbaya wapenzi wao nao wamemeza nzima nzima dhana hiyo, huwaelezi kitu
Kimsingi alichofanya Zitto ni haki yake ya kikatiba kabisa, na wala hajalazimisha mtu kumuunga mkono, na wala hajasema ni lazima yeye ateuliwe sasa hapo ajabu ni nini
Acheni mambo yaende katika flow yake, mwisho wa siku si watachukua form kwa kila anayetaka na mchakato utafanyika na hapa sasa chama kitapima kwa taratibu zake za kikatiba kupata candidate wa uraisi kwa CDM
Unajuwa kuna unafki mwingine mimi huwa sielewi unatokea wapi au mmejifunzia chuo gani kuwa wanafki, naomba hapa mnijibu kuanzia wewe na huyo @New York, ni lini nafasi ya uenyekiti wa CCM ngazi ya Taifa fomu za kugombea zilichukuliwa na zaidi ya mgombea mmoja? je hivi wakati Mohamed Gharib Bilal anataka kugombea Urais wa Zanziba dhidi ya Karume ni demokrasia gani waliyoitumia CCM?

Je mnakumbuka Shibuda alipotaka kugombea Urais na Kikwete ni kitu gani kilichomtokea? sasa nadhani ni muda muafaka wa Edward Lowasa kuwa Mwenyekiti wa CCM na Jakaya Kikwete abaki na Urais wake ili tukomaze demokrasia kwa vyama vyote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom