Zitto: Ndio ninautaka urais

Zitto: Ndio ninautaka urais

Status
Not open for further replies.
Ama kweli leo nimeamin! Laiti kama CDM tungekuwa na wanchama 5 kama zitto basi leo hii CDM ingebaki kuwa historia 2 koz chama kingeuzwa mapema.........
 
zitto ameweka vyema hoja yake... Basi kianzia sasa aache kuchafua wengine kwa kutumia vijana
 
Wamefunga ndoa nami nilikuwa shahidi, imefungwa mbele ya sheikh kundecha na watu wengine maarufu..next.

Topical,

..lakini Georgina si alikuwa mke wa mtu?

..Prof walishamalizana na yule jamaa wa Kichagga?

..imekuwaje Kundecha akafungisha ndoa ya Muislamu na Mkristo??
 
I wont urgue with a fool as it is written "dont urgue with a fool".

Una akili kiasi gani mkuu? na nani alikwambia una akili sana?

Sawa mimi si akili kama wewe..umefurahi? ehe?
 
Topical,

..lakini Georgina si alikuwa mke wa mtu?

..Prof walishamalizana na yule jamaa wa Kichagga?

..imekuwaje Kundecha akafungisha ndoa ya Muislamu na Mkristo??

Georgina ni muislam kwa sasa

Huyo mchagga unamsema wewe? kama yupo ajitokeze tu tutamshambulia Lipumba..lakini kwasasa hakuna mwanamume aliyesema georgina na mke wake kama asemavyo mahimbo na josephine

usipindishe mada mkuu Slaa anazini au mnataka kubadili maandiko kwasababu ya mahaba, kwani si ajabu kwenu maana kuna kanisa limeshakubali shoga kuwa priest..just declare..
 
Topical,

..lakini Georgina si alikuwa mke wa mtu?

..Prof walishamalizana na yule jamaa wa Kichagga?

..imekuwaje Kundecha akafungisha ndoa ya Muislamu na Mkristo??
Ndio utamu wa ndoa za kiislamu.... Vodafasta. Hata gesti shekhe anaweka ubani
 
Kinyume na unavyofikiria Arumeru ni jimbo moja lakini muhimu kulishinda kuliko majimbo mengine yote au hata kura zote za udiwani. Kwangu kinachoendelea Arumeru ni kama kilichokuwa kinatokea Fallujah in 2007.

Chadema hawatashinda wameenda kuchangisha (kutafuta pesa) siyo ubunge..trust me

Tatizo lako unafikiri chadema wako serious..chadema hawako serious wako kibiashara zaidi..
 
Ndio utamu wa ndoa za kiislamu.... Vodafasta. Hata gesti shekhe anaweka ubani

Why complication for things which are not complicated..

Ndoa ni kati ya Mwanamke na Mwanaume (na mashahidi wazee na ndugu) period..

Ndio uzuri wa dini Allah, rahisi nyepesi
 
Issue hapa ni Zitto anautaka urais kupitia tikiti ya chadema.

Haina haja ya kuzungusha maneno, sisi tusiokuwa na chama tunasubiri tu kuona vyama gani vitamsimamisha nani na ni kwanini vimemsimamisha mgombea huyo.

Hizi ni siasa tu za kupotezeana muda.

Kuna miaka mitatu kabla ya uchaguzi mkuu.Kama kuna wanotaka kugombea, kama alivyosema MMM, huu si wakati wake, nguvu mtapoteza kugombana wenyewe kwa wenyewe.

Ndo hapo nashangazwa kama mwenye kuleta haya ana ni njema na hicho chama cha chadema.

Kama Zitto anataka kugombea, apige kampeni ndani ya chama, lakini namshauri awe makini na washabiki wa magamba ambao wanaona kila anachofanya ndani ya chadema ni cha maana(i wonder why)

Mwishowe hata kama kuna wanaosema tatizo si umri, lazima Zitto atawaeleza wanachadema why him and not Slaa.

Kwasababu wanaompinga Slaa kwa kumsapoti Zitto, wanatumia hila za ccm, je zitafanya kazi ndani ya chama?

Wana ccm wanamwita Slaa Mzee, muhuni (kwasababu ya hizi issue za mchumba nk), je ni kweli wana chadema wanaona the same?

Nakutakieni kila la kheri!
 
Na kwa cdm huyu ndio mtu anae faa kuwa Rais. Wengine wote wakina M & S Company wana tamaa tu za madaraka. Nawaomba wana cdm muungeni mkono Zitto na apitishwe na chama

nawe jiunge CHADEMA unaweza kushawishi hivyo unavyofikiri, vinginevyo wananchama ndiyo wataamua!
 
@mushi

Zitto hawezi kupata urais kupitia chadema NEVER.

Maximum they can offer ni kumsaidia Mbowe na Slaa beyond that anahatarisha uanachama wake chadema..

Tatizo dogo hajui na ni mbishi..
 
My take:
Kwa katiba la Tz la kuwa Rais on 10 years bases.. Mtu mwenye miaka 35 akiukwaa urais given kwenye 45 atalazimika kuwekwa kando Kama sio 40. Na Kwa umri huu ndio Wa ujana Lakini unapachikwa Jina la mstaafu..

Ni wazi sehemu ya maisha yako itakuwa kula kulala. Mara nyingi kwenye nchi ambazo hawana democracy hata mtoto anaweza kuwa mtawala but he/she will be there hadi anazeeka.. Na ikitokea nchi ya kidokrasia yenye mafungu ya kuongaza Kwa miaka kadhaa Na ikatokea kiongozi kijana.. Lazima atafanya jitihada za kuchakachua katiba ili ajinemeshee miaka zaidi.

Vijana wengi wa kwetu ni wakirupukaji, waninafsi Na wasaliti. Hang'ang'ania vyeo Na nafasi za juu sana za uongozi bila kufikiria after uongozi kuisha itakuwaje.. Mtu hata familia Hana, hajajua house management and children care ikovipi

Tatizo vijana wa kiafrica mnaoneana wivu wa kijinga........... Hao wazee na wenye familia za kulea si ndio waliotufikisha hapa?? kwa aliyoyafanya zitto kwa mda wake mfupi kwenye uongozi kwa nchi yetu hakustahili kuambiwa maneno kama haya uyasemayo wewe........
GO ZITTO......... KAMA CHADEMA WAKIKUTOSA UTAPITA KWA NGUVU YA UMMA
PEPOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nimerudia tena na tena kusoma hoja ya Zitto lakini sijaona kosa lake ni nini hasa hadi kuleta maneno yote haya ya kuanza kushambuliana
Maelezo yake yako wazi kabisa na ni haki yake
 
Kinyume na unavyofikiria Arumeru ni jimbo moja lakini muhimu kulishinda kuliko majimbo mengine yote au hata kura zote za udiwani. Kwangu kinachoendelea Arumeru ni kama kilichokuwa kinatokea Fallujah in 2007.

Mkuu Mwanakijiji,
Hizi soga za wanajamvi hapa zinazuia nini kule arumeru? La muhimu makamanda wanaendeleza mapambano.
Huyo anayejiita msomi wa chuo kikuu haikuwa sawa kumsema Zitto mambo ya uongo, ilikuwa sahihi Zitto kumjibu.
 
Nasikia KITILA MKUMBO NDIYE KAYAANIKA HAYA kwa wafuasi wa CHADEMA walioko Uingereza alipotembelea miji ya LONDON na READING? Lakini mimi sioni sababu ya SLAA kung'ang'ania kama nzi kwenye kidonga. Si alishatamka mwenyewe kuwa alilazimishwa kugombea urais mwaka 2010, sasa ugomvi wa nini? si awaachie wale wanaoutaka kwa hiari yao badala ya kulazimishwa? ZITTO ni kijana safi asiye na makundi ndani ya chama anweza kukipa sifa zaidi kuliko ilivyo sasa.

Mkuu,

1.Kwani Dr Slaa amesema atagombea urais? why unasema ameng'ang'ania?
2.Zitto hana makundi,Je Dr Slaa ana makundi?
 
Huwa namkubali huyu Sabatho kwa hoja zake ila hapa nadhani alioverlook.Amesema kwamba January anawakilisha tabaka la famiria heri kuanzia kukua,kusoma na maisha yake kwa ujumla hayaakisi kijana wa Tanzania ambaye ni mnyonge.Anaweza kuwa sawa.Pia amemuongelea Zitto kama kijana toka familia ya kawaida lakini kwa sasa maisha yake yako tofauti sana na vijana hata aliyesoma nao shule ya msingi.Wanatofautiana hata kuwaza Zitto akiwaza makubwa huku kijana wa kawaida akiwaza vimambo vidogovidogo sana.Anaweza kuwa sawa pia.Najiuliza sasa kama ni lazima tuwe na raisi kijana(kama ni lazima) ni kijana wa aina gani ambaye kofia ya urais inamtosha na atakuwa sawa mbele ya macho ya wenye mtazamo kama wa Sabatho?Uraisi unahitaji shule(ili uwe raisi bora lazima uwe na elimu ya kutosha).Uraisi unahitaji uzoefu wa uongozi kwenye ngazi mbalimbali kabla ya urais.Sasa ni kijana gani "wa kawaida" kama anavyosisitiza Sabatho anaweza kuwa rais?Mi nadhani ni lazima kunakuwa na utofauti kati ya aliyesoma na asiyesoma,mwenye uhakika wa kula na asiye na uhakika,anayeishi mjini na yule wa kijijini na kadhalika.Hata Sabatho mwenyewe hawazi sawasawa na yule kijana konda wa daladala aliyesoma nae primary!Hatuwezi kukwepa sifa za elimu na uzoefu na kumkabidhi konda nchi eti kwa kuwa tu anawaza sawa na vijana wengi mtaani!
Unless labda sabatho anataka mapinduzi ili vijana "wa kawaida" waweze kupata nafasi ya urais.Lakini kwa njia ya kidemokrasia kama ni lazima tuwe na raisi kijana haiwezekani kijana huyo akawa "wa kawaida" kwa mtazamo wa sabatho.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom