Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

mkuu Nguruvi3 kubishana na hao viazi Ritz1 , big sHOW na co ni kupoteza mda wako, si kwamba hawaelewi unachowaeleza, wameziba maksudi masikio yao maana kibaraka wao zitto mbunge wa mahakama anayetumikia CCM kapata kick yakutosha kwenye hill la escrow ili apate pakuanzia kwa lengo la kusaliti harakati tena maana najua wapo wapuuzi wachache wataliangalia swala la escrow bila kujua ni mitego mingine ya Zitto, shangaa eti wamekesha kulinda report, hahahahaha,

Unataka kusema Zitto anatumika na maCCM...? kweli ujinga mzigo sana
 
Last edited by a moderator:
mkuu Nguruvi3 kubishana na hao viazi Ritz1 , big sHOW na co ni kupoteza mda wako, si kwamba hawaelewi unachowaeleza, wameziba maksudi masikio yao maana kibaraka wao zitto mbunge wa mahakama anayetumikia CCM kapata kick yakutosha kwenye hill la escrow ili apate pakuanzia kwa lengo la kusaliti harakati tena maana najua wapo wapuuzi wachache wataliangalia swala la escrow bila kujua ni mitego mingine ya Zitto, shangaa eti wamekesha kulinda report, hahahahaha,
Kiazi baba yako na mama yako punguani wewe huyo baasha wako unayemtetea ndiyo anakufundisha matusi uje kutukana humu shika adabu yako.
 
Last edited by a moderator:
Jamani Zitto ni kamanda hasa, leo kanifurahisha sana na hakika taifa linahitaji vijana kama hawa, yani Zitto stay annointed n blessed. Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo aendelee kukutia nguvu.Amen
 
Last edited by a moderator:
Hiv kazi aliyoifanya zito haitoshi kupewa tuzo ya heshima kama stateman?tatizo ni kuhitilafiana na vyama vyenu ?nadhan hilo sio muhimu sasa...la muhimu amefanya kaz kwa niaba ya watanzania na kwa leo nimemuona kama mtumishi mwaminifu
 
tena uhalisia kwa kuwashambulia watu wakubwa ama kweli hawa ndio wamebeba dhamana ya nchi nq kujitoa maisha yao kwa lolote maana watakuwa wanashambuliwa tu lkn pasipo kutoa uoga na kujitoa huwezi kulikomboa taifa au kuleta mabadiliko. kwa heshima tena na unyenyekeve Mungu awajalia siku za kuishi ili tuendelee kuwaumbua watu na wao iwe mifano kwetu sisi vijana
 
I think hadi hiv sasa wenye akili zao timamu wameshakupuuza.

Ulilolitaka halikuwa.

Zitto kama mwenyekiti wa PAC keshafanya kazi yake na watanzania wenye akili timamu wameona uhalisia wa juhud ya kamati yake.

Wewe ni wa humu humu JF nguruvi3.

Tunakuchukulia kama kiburudisho tuh cha kuchangamsha bongo na sometimes kufresh mind zetu.

Inshort tunakudharau sana.
Taarifa ya leo haijajibu tuhuma alizoweka ZZK mwenyewe. Hebu tendeni wema katika uzi huu.
Hoja si Nguruvi ni uzi wa Zitto. Majibu ya tuhuma yaliyobaki yapo wapi?
 
mkuu Nguruvi3 kubishana na hao viazi Ritz1 , big sHOW na co ni kupoteza mda wako, si kwamba hawaelewi unachowaeleza, wameziba maksudi masikio yao maana kibaraka wao zitto mbunge wa mahakama anayetumikia CCM kapata kick yakutosha kwenye hill la escrow ili apate pakuanzia kwa lengo la kusaliti harakati tena maana najua wapo wapuuzi wachache wataliangalia swala la escrow bila kujua ni mitego mingine ya Zitto, shangaa eti wamekesha kulinda report, hahahahaha,

Akili za kipuuz kama hizi watazielewa wapuuz wenzako wasiojitambua.

Hakuna alieyopo hapa kumpa backup zitto kabwe.

Kazi aliyoifanya kila mtanzania kaiona.

Kama ni kibaraka wa ccm mbona makamanda wenzao mle bungeni jana walituliza kipago na kuacha kuchonga genga huku wakisoma kwa umakin report iliyoandaliwa na kamati yake??

Hukuona pale alipomaliza kuisoma kamanda tundu lisu alimpa mkono wa kumuapriciate kwa kazi murua??

Nyinyi vikojozi tafuteni kingine cha kusema.

Kama hamna nendeni kachezeni kidalimpoo na dada zenu.
 
Last edited by a moderator:
I think hadi hiv sasa wenye akili zao timamu wameshakupuuza.

Ulilolitaka halikuwa.

Zitto kama mwenyekiti wa PAC keshafanya kazi yake na watanzania wenye akili timamu wameona uhalisia wa juhud ya kamati yake.

Wewe ni wa humu humu JF nguruvi3.

Tunakuchukulia kama kiburudisho tuh cha kuchangamsha bongo na sometimes kufresh mind zetu.

Inshort tunakudharau sana.
Hoja zikowapi? Nilichotaka ni kipi? Tuhuma kaleta nani?
Endapomnanipuuza lipi linawasumbua hadi kunitaja kila mara?

Umesema ninacharacter assassination, hujaonyesha wapi.
Mkasema ninachuki, nimeonyeshajuly 2 nimeongeleamlichokuwa mnasubiri Zitto aseme. At least nimesema sikusubiri ZZK aseme

Mimi ninaulizaalichokisema Zitto, vipi umemsoma Faiza Fox anyosema juu ya Zitto?

Hamjawezakutetea hoja, na maswali yanabaki pale pale.

Tofauti yetuni kuwa niye ni mabingwa wa matusi, mimi nawajibu hoja.

Mkuu yaani unipuuze mimi na si aliyeleta mada msiyoweza kuitetea! Yakhe kweli hayo
 
mkuu Nguruvi3 kubishana na hao viazi Ritz1 , big sHOW na co ni kupoteza mda wako, si kwamba hawaelewi unachowaeleza, wameziba maksudi masikio yao maana kibaraka wao zitto mbunge wa mahakama anayetumikia CCM kapata kick yakutosha kwenye hill la escrow ili apate pakuanzia kwa lengo la kusaliti harakati tena maana najua wapo wapuuzi wachache wataliangalia swala la escrow bila kujua ni mitego mingine ya Zitto, shangaa eti wamekesha kulinda report, hahahahaha,
Naona Nguruvi3 kamuita kijana wake kuongeza mashambulizi ya matusi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom