Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Mbona siku ile alijibanza kwenye ukumbi wa bunge hadi Ndugai alipompa lift.......mbona hatukuliona hilo bwawa!
Nakumbuka kuna siku polisi walikuwa wanamsubiri ashuke jukwaani wamkamate,baadae hawakumuona!Ilibidi wamwambie tu areport kituoni!
 
Kwa kweli kila kitu kinaangukia huko aisee its not simple as that ku pull a job like that in areas like those.
 
Hizo drama zote za kitoto mwisho 2020, baada ya hapo akaombe kazi kwa Maria Sarungi au Mangi Kimambi!
 

AKIONGEA AUKU POST ZITO INAKUA MWANA HARAKATI,AKIONGEA BASHIRU UHADI AU MA-MEN IRVIN SLOW INAKUWA SIASA SAFI...KWAHILI NAANZAKUAMINIKUWA MISHAHARA HAITA BADILIKA NA 1.5T INAKUWA.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…