Zitto, mshika mbili moja humponyoka

Zitto, mshika mbili moja humponyoka

Angalia kwa mfano CHADEMA kinawafuasi wengi wachaga kuliko chama chochote.
 
Haya tusubiri Ba ***** atakapokabidhiwa mikoba ya uenyekiti wa chama ni kipi kitamponyoka....uraisi au uenyekiti. Wewe umemwona zito tu mbona wako wengi tu walioshika mbili?
Mi huwa nawashangaa sana watu kwanini Zitto akifanya move yeyote utasikia wanakuja watu kumshauri mbona wanasiasa ni wengi tu hawaaaingaiki nao
 
Hamumuoni aliyesema amebadilshia angani ndio hajitambui na sasa chombo chake cha usafir kimeanza kutoa moshi na angani Hanna gerej.
 
Ngoja aje Mchange akujibu, maana yupo Facebook huku anaichambua safari ya zitto katika Uenyekiti wa Mbowe
 
Taarifa zitakuwa zimemfikia abakie kigoma tuu act hairuhusiwi mikutano nje ya kigoma
 
Back
Top Bottom